kupenda kazi bwana usithubutu kukutwa

kupenda kazi bwana usithubutu kukutwa

george de hero

Senior Member
Joined
Jul 7, 2013
Posts
122
Reaction score
14
jamani wana jf me nilikuwa na kademu kangu ka mitaa ya nyakato mwanza jina***ila baada ya kumaliza ckul pale mhandu tulitengana sikuweza kupata hata namba yake ya cm wala kumuona tena huyu dear mama kiukwel nilimpenda sana si utani naye pia alinipenda sana tuu....sasa hapa juzi kati nimebahatika kupata her 4n number ila kaniambia ameolewa na ana mume wake na hatak mazoea na mimi ila bado nampenda sanaaa jaman nifanye nin ili nimrudishe zizin tena huyu du jaman nampenda kinoma ati....?
 
Angekuwa mme wa mtu ningesema maziwa, ila huyo ni mke wa mtu ni SUMUUUUU......!
 
Acha utoto wewe, mkeo sie tukija mrudisha zizini utafurahi wewe?
 
Unampenda sana sio? Basi mtafute tu lengo lako si kumuoa? Kaza uzi umuoe, aachane na mumewe na maisha ya ndoa aliyobarikiwa na Mungu aje kwako wewe unayempenda!! Vunja mahusiano yake ukate kiu yako kwa kuumiza maisha ya mwingine.

Mwisho wa yote Mungu atakupa unachostahili! Endelea tu,,,,,,,
 
Angalia usije ukapelekwa Mwatex kujibu tuhuma,lakn kumbuka usitumie udhaifu wa Mwanamke kumpata huyo Binti na pia huyo mwanaume aliyenaye atajisikiaje ikiwa alimpata hakuweza kujua habr kuhusu wewe na kuna watoto unataka wateseke.
 
angekupenda angekutafuta,yale yalkuwa mapenz ya boy friend na girlfriend! Forget
about her,she's married nw
 
jamani wana jf me nilikuwa na kademu kangu ka mitaa ya nyakato mwanza jina***ila baada ya kumaliza ckul pale mhandu tulitengana sikuweza kupata hata namba yake ya cm wala kumuona tena huyu dear mama kiukwel nilimpenda sana si utani naye pia alinipenda sana tuu....sasa hapa juzi kati nimebahatika kupata her 4n number ila kaniambia ameolewa na ana mume wake na hatak mazoea na mimi ila bado nampenda sanaaa jaman nifanye nin ili nimrudishe zizin tena huyu du jaman nampenda kinoma ati....?

Unajifanya kuomba ushauri wakati tayari umeshaharibu . . . Habari zako ninazo na ninakufuatilia.
 
jamani wana jf me nilikuwa na kademu kangu ka mitaa ya nyakato mwanza jina***ila baada ya kumaliza ckul pale mhandu tulitengana sikuweza kupata hata namba yake ya cm wala kumuona tena huyu dear mama kiukwel nilimpenda sana si utani naye pia alinipenda sana tuu....sasa hapa juzi kati nimebahatika kupata her 4n number ila kaniambia ameolewa na ana mume wake na hatak mazoea na mimi ila bado nampenda sanaaa jaman nifanye nin ili nimrudishe zizin tena huyu du jaman nampenda kinoma ati....?

Unataka kumrudisha zizini mke wa mtu?
Au labda nikuulize haya maswali ya kipuuzi ...
  • Lengo la kumrudisha zizini ni nini? Kumuoa au kuonja? Na ili iweje?
  • Umekosa kabisa kabisa msichana mwingine?
  • Unajua madhara ya unachotaka kufanya?
  • Kuna ugumu gani kukubali matokeo kuwa ilikuwa historia?
 
Itabidi nianze msako haraka inawezekana wewe ndio unaetuchanganya pale nyumbani
 
Umeona eee!! We murugalama kuwa makini inawezekana ma mdogo kuna ka jamaa kanamrubuni, ndo chanzo cha kibur hicho. Au ulimtake over jamaa wa kule mkuyin?? Sasa kaja kasi, angalia usijeletewa posa kwa mkeo sijui itakuwaje
Itajulikana tu.
 
Umeona eee!! We murugalama kuwa makini inawezekana ma mdogo kuna ka jamaa kanamrubuni, ndo chanzo cha kibur hicho. Au ulimtake over jamaa wa kule mkuyin?? Sasa kaja kasi, angalia usijeletewa posa kwa mkeo sijui itakuwaje
Itajulikana tu.
Huyo jamaa anapolenga ishanipa wasi wasi inabidi tushirikiane kumkamata
 
Kamrudishie gharama zote mume wake. Sijui kama utaziweza. Ukiambiwa kwa siku anatumia elfu15 tu sijui kama utaweza gharama za miaka kadhaa
 
Jamani we nani mbôna unanitisha tusije tukaumbuana mzawa nipe riport kimyakimya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom