Franky
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 2,272
- 2,858
hazitakwisha kwa wasio waaminifu.....[/
hongera kwa confidence, wewe uzitaki afu full kujiamini
hazitakwisha kwa wasio waaminifu.....[/
hongera kwa confidence, wewe uzitaki afu full kujiamini
hongera kwa kujiamini naona wewe uzitaki afu full kujiamniahazitakwisha kwa wasio waaminifu.....
Utamu orginal = utamu wa mtoto.
Wakati wa kula bata uwe naye afu wakati wa majukumu uone huna kazi... Are u serious???
I think wanaume wenye mitazamo ya namna hii mnahitaji kujifunza na kuacha haya mabishano ya kinga dhidi ya mimba zisizotarajiwa ni kazi ya mwanamke. Otherwise mtalalama sanaaaaa.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
hongera kwa kujiamini naona wewe uzitaki afu full kujiamnia
Usimuoe kwa sababu ya kumuonea huruma kuwa ana mimba yako ila muoe kwa sababu unampenda, maana maisha baada ya hiyo siku ndoa ndio ya kuzingatia kuliko hata siku hiyo ya ndoa, Hata ukishaoa haimaanishi ucheze hovyo hovyo maana unaweza kuwa na idadi kubwa watoto usio watarajia halafu ukaanza kuwaza kumkimbia tena mkeo na watoto pia,Nina demu wangu na tayar ana ujauzito wangu na anadai nimuoe,na bado cjaanza kazi,naona ngumu kwa sasa but nina mpango wa kumuoa.na yeye analazimisha nimuoe siku hizi za karibun.je nifanyeje wana jf?
Elimu yangu ni bachelor,age 25
sijakataa, wewe mwaminifu na unajiamini, je na habibi wako ni mwaminifu? wengi wanapata magonjwa kutoka kwa watu wanaowaamini sanaukiwa mwaminifu kujiamini lazima franky
kwanini watu hampendi kutumia condom?????!!!!!!
Elimu yangu ni bachelor,age 25
kama ni bachelor ya education,ajira zenu si zinatoka january,wasiwasi wa nin mkuu?
sijakataa, wewe mwaminifu na unajiamini, je na habibi wako ni mwaminifu? wengi wanapata magonjwa kutoka kwa watu wanaowaamini sana
usiusemee moyo!!habibi wangu pia he he he
usiusemee moyo!!
pa1.........najua........!!!!