Kupatwa kwa IFM

nimeend kwenye profile yake ya fb nimekuta watu wamembandikia mapicha yake...watu hawapendi ujinga eti..ha ha ha
 
Oh my God! This shows how difficult English language is, especially to most Tanzanian students..!

Hapo kweli IFM imepatwa..

Nawaza tu lakini..
 
Tuna uhakika gani kama ni kweli kachaguliwa hapo?

Mara nyingi tu tunaona msichana kaandika anasoma Feza Boys,au mtu kaandika anasoma BVM MUHAS
 
Oh my God! This shows how difficult English language is, especially to most Tanzanian students..!

Hapo kweli IFM imepatwa..

Nawaza tu lakini..
not only a problem to tanzanian students.. even tanzanian mkulu
 
Haya ndo matokeo ya ile BRN, hata hivyo shule zetu nyingi za serikali, hususani za kata, zipo nyuma sana kwenye suala la hii lugha ya kigeni.
 
Mwanachuo mtarajiwa wa mwendo kasi. Sijui anaendasoma kozi gani huko ifm.
 
Oh my God! This shows how difficult English language is, especially to most Tanzanian students..!

Hapo kweli IFM imepatwa..

Nawaza tu lakini..
Ndiyo maana nilidaiwa TOEFLS na vingine sijui ISLETS nikafanye pale British Embassy kipindi flan ni kwa sababu hii, Ee Mungu uturehemu
 
Kuna jamaa anaongea kimombo kitamu sana plus kichwani zipo lakini kakosa chuo....

Dah! Kweli Duniani ni kamali, ukilamba Jokeli bahati yako..
 
Haya ndo matokeo ya ile BRN, hata hivyo shule zetu nyingi za serikali, hususani za kata, zipo nyuma sana kwenye suala la hii lugha ya kigeni.
Uzuri ni wa Musoma. Wakurya mupooo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…