Kupatikana masaa 24 ni u-cheap labour

Kupatikana masaa 24 ni u-cheap labour

Mi nina namba 3, namba 2 wanazijua wote na head wa kazini akiwemo. Namba hizi zinajiwasha saa 0600 na kujizima saa 2200.
Namba 1 hii haizimwi kabisa, inajulikana kwa wanafamilia wote, marafiki wa karibu, wafanyakazi wawili tu tunaofanya nao kazi na ndio namba nimeunganisha kwenye huduma zote za kibenki.
Siku nikiamua nisipatikane sipatikani kweli. Sio umeamua usipatikane ukaamua kuzima simu, bahati mbaya umepata dharura unawasha simu ili utoe hela mpesa, mara bosi anapiga simu tena, yaani kama alikuwa anakusubiri wewe.
Utaratibu huu nilijifunza nilikuwa na bosi mmoja msumbufu sana, nikaona nikimzimia simu yeye watu wengine tuendelee kuwasiliana kama kawa.
Ndivyo inavyotakiwa mkuu,kazi zina mwisho familia haina mwisho,marafiki wana kikomo familia haina kikomo n.k
 
Nilikuwa na utaratibu wa kupenda ikifika sa 3 usiku nazima cm ila saiz nimeacha kuna siku yalitokea matatizo natafutwa cm imezima nilpoteza vitu vya msingi kisa kuzima sm now 24/365 napatikan ata iweje
 
Nilikuwa na utaratibu wa kupenda ikifika sa 3 usiku nazima cm ila saiz nimeacha kuna siku yalitokea matatizo natafutwa cm imezima nilpoteza vitu vya msingi kisa kuzima sm now 24/365 napatikan ata iweje
 
Nilikuwa na utaratibu wa kupenda ikifika sa 3 usiku nazima cm ila saiz nimeacha kuna siku yalitokea matatizo natafutwa cm imezima nilpoteza vitu vya msingi kisa kuzima sm now 24/365 napatikan ata iweje
Cha muhimu tu ujue ni nani wa kukupata masaa 24
 
Nilikuwa na utaratibu wa kupenda ikifika sa 3 usiku nazima cm ila saiz nimeacha kuna siku yalitokea matatizo natafutwa cm imezima nilpoteza vitu vya msingi kisa kuzima sm now 24/365 napatikan ata iweje
Kwa mfano mi ikifika saa 12 jioni simu inayotambulika katika shughuli zangu inakuwa off.Baada ya hapo ni kutafakari maisha na namna ya kutatua changamoto za kifamilia.Kazi zina mwisho na marafiki pia wana mwisho.
 
Nilikuwa na utaratibu wa kupenda ikifika sa 3 usiku nazima cm ila saiz nimeacha kuna siku yalitokea matatizo natafutwa cm imezima nilpoteza vitu vya msingi kisa kuzima sm now 24/365 napatikan ata iweje
Niliwahi kupishana na gari la Mshahara kisa kudharau na kuzima simu yangu.

Yaani kwa sasa ni 24/7 (30 × 12)
 
Niliwahi kupishana na gari la Mshahara kisa kudharau na kuzima simu yangu.

Yaani kwa sasa ni 24/7 (30 × 12)
ha ha ha ha ni kweli mkuu,inategemea na mipango yako ulivyoiweka mkuu.
 
Kusema kweli kupatikana 24/7 kwa kila mtu siyo sawa.

Muda siyo wa kazi mtu anakupigia kuulizia mafaili Haifai
 
mimi hata siku nikipumzika sijaenda kibaruani.mteja akinipigia simu kama sipo mbali lazma niende
nina wateja wengi kwa sababu nina urafiki na simu na ninawajibu vizuri kabisa.
 
mimi hata siku nikipumzika sijaenda kibaruani.mteja akinipigia simu kama sipo mbali lazma niende
nina wateja wengi kwa sababu nina urafiki na simu na ninawajibu vizuri kabisa.
Kama inakuwa haikusumbui hakuna shida
 
Huku kwetu unapewa smartphone,laptop, modem, bundle la mwezi na mafuta ya gari, wakutafute wakukose maisha yako kazini lazima yawe mafupi 😂😂😂
 
Huku kwetu unapewa smartphone,laptop, modem, bundle la mwezi na mafuta ya gari, wakutafute wakukose maisha yako kazini lazima yawe mafupi 😂😂😂
ha ha ha hii inatakiwa itumike pale ambapo 90% unaweza kuendesha maisha yako bila kutegemea kuajiriwa.
 
Back
Top Bottom