princeNathan
Senior Member
- Apr 5, 2023
- 172
- 337
Rejea kichwa cha habari hapo juu niliweza kupewa ushauri juu ya kusoma bsc in mechanical injinia lakin wana jamii forum mlinishaur vyema bora nijirndeleze elim ya juu zaid kwa msada zaidi nimepat chuo nje ya nchi kujiendeleza zaid je kwa ushaur elimu ya nchini india kwa Msc-in compter science ikoje vitu gani natakiwa niwe navyo na msuli wake upoje ........... na maisha yake kiujumla nikiwa uko msaada wakuu