Naomba kujuwa dawa ya asili kusaidia mayai kupevuka, pia sijisikii hamu ya tendo la ndoa kabisa yaani sina ashki na mume wangu. I'm serious please saidia ushauri nifanyeje au niende wapi nitasaidiwa?
Dawa ya Kuamsha tamaa ya kiume na ya kike Ashki : Juisi ya Tangawizi nusu kijiko pamoja na kiini cha njano cha yai la kuku wa kienyeji kilicho chemshwa na Asali safi mbichi ya nyuki. Tumia kila siku kwa muda wa mwezi mmoja. Tumia kishaunipe feedback.@Shanic
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.