Naomba msaada kwa mtu anaejua namna ya kupata chanel nzuri za muvi na mpira kwa kutumia decoda za free chanel. Decoda nayotumia ni mediacom. Kwa muda mrefu tulikuwa tunapata etv, muvi tv, aljazeera na chanel za msumbiji, lakini kwa sasa hatupati tena zimebaki chanel za dini na za hapa tz.