Habari wadau, mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26, nina tatizo ambalo hata mimi mwenyewe linaniumiza sana.. nina tabia ya kupaniki kwa haraka sana hata kama mtu kanikwaza kidogo.. kiukweli natamani niwe na uwezo wa kucontrol hasira zangu but nashindwa,,,, so plezzz wapendwa wangu nisaidieni niwe nafanyaje ili nichukulie vitu simple.. natanguliza shukrani.
Habari wadau, mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26, nina tatizo ambalo hata mimi mwenyewe linaniumiza sana.. nina tabia ya kupaniki kwa haraka sana hata kama mtu kanikwaza kidogo.. kiukweli natamani niwe na uwezo wa kucontrol hasira zangu but nashindwa,,,, so plezzz wapendwa wangu nisaidieni niwe nafanyaje ili nichukulie vitu simple.. natanguliza shukrani.
duh.. popote alipo still nampenda sanaaaaa jaman
Hapana!!& watu8 we mpana sana.
Chukulia vitu simple hata kama ni kikubwa na kimekukwaza/kuuma....mambo ya dunia hii huyawezi...the world is not fair!!...act like you dont care....
kama nakufahamu hv!!, we kwa sasa haupo moro kweli?
Safi sana kama umejitambua ni hatua moja muhimu sana..
huo ndio ukweli na kifuatacho aitivii ni kwa wewe kutendea kazi hilo....
je na yeye anakupenda au anahisia kama ulizo nazo? kama ndio vunja ukimya...
moyo wa mtu kichaka.. i don't knw if he feels the same ila nachofaham is anajua what i really feel for him ila i cant force ku get back to him..
Ooh!!!
Basi chapa lapa endelea na mambo zako usiumize kichwa...btw mapenzi yapo tu na watu wapo tu!!!
that is what i 've done mkuu... life is too short to be complicated.! am doing great sanaaa na life goes on
hiyo ni safi sana...(in Joti's voice)
Habari wadau, mimi ni
msichana mwenye umri wa miaka 26, nina tatizo ambalo hata mimi mwenyewe
linaniumiza sana.. nina tabia ya kupaniki kwa haraka sana hata kama mtu
kanikwaza kidogo.. kiukweli natamani niwe na uwezo wa kucontrol
hasira zangu but nashindwa,,,, so plezzz wapendwa wangu nisaidieni niwe
nafanyaje ili nichukulie vitu simple.. natanguliza shukrani.
Niwekee hiyo offer for the next time , nitakukumbushia . Asante.