Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,521
- 13,999
Kwa pesa hiyo akuna uzalendo
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Na baridi kama hili kupanda mlima lol
Gahli sana bila sababu ya msingi.
Changanua gharama uone ulivyo mwizi
Kama hivi,
Kiingilio kwenye hifadhi Ths 2000 * 6 = 12,000
Chakula 10,000* 6 = 60,000
Vifaa 100,000
Guide 5000
Uokozi 3000
JUMLA 180,000
350,000/= ? Sijapata ka bustani ka mboga mboga hapa? Tufundishane kuzitafuta kwanza, kutumia baadaeee...
gahli sana bila sababu ya msingi.
Changanua gharama uone ulivyo mwizi
kama hivi,
kiingilio kwenye hifadhi ths 2000 * 6 = 12,000
chakula 10,000* 6 = 60,000
vifaa 100,000
guide 5000
uokozi 3000
jumla 180,000
350,000/= ? Sijapata ka bustani ka mboga mboga hapa? Tufundishane kuzitafuta kwanza, kutumia baadaeee...
Tangazo zuri ila limepata upinzani sana nimekata tamaa
Nadhan wanatoza gharama sawa na watalii wa nje ya nchi.
Kwa jins nnavyojua mie watz wanalipa gharama tofauti na watalii watokao nje .
Mkuu kukata mzizi wa fitina ebu weka mchanganuo hiyo 350k ilivyopatikana
Onesha interesting kwanza ya kupanda mlima then ninaweza kuweka mchanganuo.
Ni kitu chepesi tu wewe kama unaona hiyo pesa ni nyingi,acha au tafuta kampuni itakayoweka kukubaliana na bajeti yako.!
Pia ukumbuke hii ni biashara kwa hiyo siwezi anika kila kitu hapa.
Huu ndio wizi jamvini na utapeli! Acha kabisa bwana mdogo! Watu hawanunui tu siku hizi package bila mchanganuo, tena usiache kuweka na menu day by day from breakfast lunch and dinner. Acha kutaka kupata hela kivivu 350k inatakiwa uifanyie kazi si kutumia jamvi bure na kupata hela kizembe. Na ukiainisha hivi vyote ndivyo nitawapatia habari wafanyakazi wenzangu hapa Silicon Valley kuja kula hard time mlimani. Sawa!
Hii utauza zaidi na kila mtu atauona uwazi na kutaka kushiriki zoezi hilo. Hii ndio akili na siyo kuwa too defensive.