The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 8,551
- 20,346
Nimeshangaa kutosikia haya.
1. Kupambana na ubadhilifu kuwezesha TAKUKURU mbinu za kisasa kuzuia Rushwa.
2. Kuongeza uwajibikaji na kukomesha wafanyakazi wazembe
3. Serikali kuhakikisha utawala wa sheria unaimarika. Kuhakikisha ulinzi na usalama kwa raia wote.
4. Sijasikia akitaja mradi wowote wa maana anaenda kutekeleza.
By the way this term.wanaenda kuchota hata kile kidogo kilichobaki. TAKUKURU imezikwa rasmi
1. Kupambana na ubadhilifu kuwezesha TAKUKURU mbinu za kisasa kuzuia Rushwa.
2. Kuongeza uwajibikaji na kukomesha wafanyakazi wazembe
3. Serikali kuhakikisha utawala wa sheria unaimarika. Kuhakikisha ulinzi na usalama kwa raia wote.
4. Sijasikia akitaja mradi wowote wa maana anaenda kutekeleza.
By the way this term.wanaenda kuchota hata kile kidogo kilichobaki. TAKUKURU imezikwa rasmi