a hope
Senior Member
- Oct 23, 2022
- 163
- 342
Nimeamini kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kushindwa vibaya kimaisha na kuota ukiwa shule.
Kila siku huwa naota nikiwa shule na mara nyingi wakati wa mitihani na mara zote matokeo huja vibaya.
Kwenye maisha halisi sasa..vita ni kubwa sana
Kwani humu kuna mtu anaota akiwa shule na muda huo maisha yake yapo safi?
Kila siku huwa naota nikiwa shule na mara nyingi wakati wa mitihani na mara zote matokeo huja vibaya.
Kwenye maisha halisi sasa..vita ni kubwa sana
Kwani humu kuna mtu anaota akiwa shule na muda huo maisha yake yapo safi?