Kuota ukiwa shule

Kuota ukiwa shule

a hope

Senior Member
Joined
Oct 23, 2022
Posts
163
Reaction score
342
Nimeamini kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kushindwa vibaya kimaisha na kuota ukiwa shule.

Kila siku huwa naota nikiwa shule na mara nyingi wakati wa mitihani na mara zote matokeo huja vibaya.

Kwenye maisha halisi sasa..vita ni kubwa sana

Kwani humu kuna mtu anaota akiwa shule na muda huo maisha yake yapo safi?
 
Nimeamini kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kushindwa vibaya kimaisha na kuota ukiwa shule.

Kila siku huwa naota nikiwa shule na mara nyingi wakati wa mitihani na mara zote matokeo huja vibaya.

Kwenye maisha halisi sasa..vita ni kubwa sana

Kwani humu kuna mtu anaota akiwa shule na muda huo maisha yake yapo safi?
Kama unaota ndoto za shule maana yake unaiwaza shule all day long ambapo hii inatokana na kukosa majukumu na shughuli ya kukuweka busy.
 
Nimeamini kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kushindwa vibaya kimaisha na kuota ukiwa shule.

Kila siku huwa naota nikiwa shule na mara nyingi wakati wa mitihani na mara zote matokeo huja vibaya.

Kwenye maisha halisi sasa..vita ni kubwa sana

Kwani humu kuna mtu anaota akiwa shule na muda huo maisha yake yapo safi?
Mimi nilikuwa naota paper kama kesho halafu sijasoma hata topic 1
 
ndoto nyingi naota nipo shule tena primary na mara moja moja sekondari... kipindi nipo college sikumbuki kama nimewahi kuota ndoto za mazingira ya chuo hata siku; kila ndoto ni primary tu hata niote watu ninaoshinda nao kutwa na sikusoma nao primary lakini kwenye ndoto wote ni shule!

Hata wahusika wakiwa ni watumishi wenzangu lakini ndotoni lazima tuwe ni wanafunzi! Nakumbuka siku hiyo nimeota Mwalimu mkuu wa shule ninayofundisha eti anakagua sijui jambo gani na mimi nimo ni mwanafunzi halafu namhanya balaa aisee niliposhtuka ikabidi nicheke tu maana kiuhalisia huyo jamaa wala hana ukali niliomuota nao na ni mshkaji sana hapa shuleni hata huwezi kujua kama yeye ndiye mkuu
 
ndoto nyingi naota nipo shule tena primary na mara moja moja sekondari... kipindi nipo college sikumbuki kama nimewahi kuota ndoto za mazingira ya chuo hata siku; kila ndoto ni primary tu hata niote watu ninaoshinda nao kutwa na sikusoma nao primary lakini kwenye ndoto wote ni shule!

Hata wahusika wakiwa ni watumishi wenzangu lakini ndotoni lazima tuwe ni wanafunzi! Nakumbuka siku hiyo nimeota Mwalimu mkuu wa shule ninayofundisha eti anakagua sijui jambo gani na mimi nimo ni mwanafunzi halafu namhanya balaa aisee niliposhtuka ikabidi nicheke tu maana kiuhalisia huyo jamaa wala hana ukali niliomuota nao na ni mshkaji sana hapa shuleni hata huwezi kujua kama yeye ndiye mkuu
Vipi changamoto za kimaisha..au maisha yamenyooka tu
 

Ukiota upo shule tena katika ngazi ambayo ulishaipita, hiyo ni dalili ya kurudi nyima kimaisha. Ni maono unapewa.

Kuna ndoto kama marudio ya kile kitu umekuwa ukiwaza kwa muda mwingi wakati ukiwa macho na ndoto kama njia ya Mungu kusema na wewe kiumbe wake. Ukichanganya haya unapotea.

Nimewahi kuota ndoto mara tatu katika hali tofauti ila zikiwa na ujumbe mmoja, nilipuuzia, kumbe nilikuwa naoneshwa kitu.


 
Back
Top Bottom