Kuongezeka kwa Tumbili na Ngedere hapa Dar hasa Mbezi beach mpaka Ununio

Kuongezeka kwa Tumbili na Ngedere hapa Dar hasa Mbezi beach mpaka Ununio

Mookiesbad98

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2015
Posts
3,571
Reaction score
4,820
Mamlaka zinazohusika hasa Maliasili. AFYA . Kuna ongezeko kubwa la tumbili na ngedere maeneo ya Mbezibeach Nssf flats kwenye bonde la mto ndumbwi.

Maeneo ya Bahari beach Kondo mpaka Tegeta masaiti. Boko mpaka mbweni ngedere na tumbili wamezaliana sana na kuleta tishio la magonjwa na usalama wa binadamu hasa wanawake.

Wahusika wachukue hatua za haraka
 
Mamlaka zinazohusika hasa Maliasili. AFYA . Kuna ongezeko kubwa la tumbili na ngedere maeneo ya Mbezibeach Nssf flats kwenye bonde la mto ndumbwi.

Maeneo ya Bahari beach Kondo mpaka Tegeta masaiti. Boko mpaka mbweni ngedere na tumbili wamezaliana sana na kuleta tishio la magonjwa na usalama wa binadamu hasa wanawake.

Wahusika wachukue hatua za haraka
hee, nlionaga wawili mbezi beach pembeni ya barabara kwenye miti nikajua maybe wamepotea, kumbe wapo wengi? wamiliki wawe makini na mifugo yao
 
Hayo ni mapori yao mmewavamia tu.

Pale Tangi Bovu miaka ya 1980s kati ya 1983 mpaka 1986 palikuwa mashamba na mapori tu.

Bibi yangu alikuwa na shamba pale kwenye Tangi Bovu barabarani, kulikuwa na Tangi limeharibika lina kutu, siku hizi watu wanapaita Tangi Bovu hata hilo Tangi Bovu hawajaliona.
 
Mamlaka zinazohusika hasa Maliasili. AFYA . Kuna ongezeko kubwa la tumbili na ngedere maeneo ya Mbezibeach Nssf flats kwenye bonde la mto ndumbwi.

Maeneo ya Bahari beach Kondo mpaka Tegeta masaiti. Boko mpaka mbweni ngedere na tumbili wamezaliana sana na kuleta tishio la magonjwa na usalama wa binadamu hasa wanawake.

Wahusika wachukue hatua za haraka
Waacheni .....kwanza hayo ndiyo yalikuwa makazi yao
Nyinyi mmehamia huko na mmewakuta wakahama...

Ova
 
Hayo ni mapori yao mmewavamia tu.

Pale Tangi Bovu miaka ya 1980s kati ya 1983 mpaka 1986 palikuwa mashamba na mapori tu.

Bibi yangu alikuwa na shamba pale kwenye Tangi Bovu barabarani, kulikuwa na Tangi limeharibika lina kutu, siku hizi watu wanapaita Tangi Bovu hata hilo Tangi Bovu hawajaliona.
Australia wanajua sana kuishi na wanyama
Maana kuna msimu ni kama wanaibuka alafu wanapotea

Ova
 
Mamlaka zinazohusika hasa Maliasili. AFYA . Kuna ongezeko kubwa la tumbili na ngedere maeneo ya Mbezibeach Nssf flats kwenye bonde la mto ndumbwi.

Maeneo ya Bahari beach Kondo mpaka Tegeta masaiti. Boko mpaka mbweni ngedere na tumbili wamezaliana sana na kuleta tishio la magonjwa na usalama wa binadamu hasa wanawake.

Wahusika wachukue hatua za haraka
Mbezi beach Hayo ni maeneo ya kuishi ngedere na tumbili binadamu mumefuata nini? Kwani nyie ngedere na tumbili?
 
Mamlaka zinazohusika hasa Maliasili. AFYA . Kuna ongezeko kubwa la tumbili na ngedere maeneo ya Mbezibeach Nssf flats kwenye bonde la mto ndumbwi.

Maeneo ya Bahari beach Kondo mpaka Tegeta masaiti. Boko mpaka mbweni ngedere na tumbili wamezaliana sana na kuleta tishio la magonjwa na usalama wa binadamu hasa wanawake.

Wahusika wachukue hatua za haraka
Hawa ngedere wangeonekana Mbagala, ingekuwa stori nyingine..!!!
 
Hayo ni mapori yao mmewavamia tu.

Pale Tangi Bovu miaka ya 1980s kati ya 1983 mpaka 1986 palikuwa mashamba na mapori tu.

Bibi yangu alikuwa na shamba pale kwenye Tangi Bovu barabarani, kulikuwa na Tangi limeharibika lina kutu, siku hizi watu wanapaita Tangi Bovu hata hilo Tangi Bovu hawajaliona.
Mpk mwaka 1998 lilikuwepo
 
Back
Top Bottom