Kuongezea kwa gharama za DSTV

Kuongezea kwa gharama za DSTV

Iwensanto

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
1,224
Reaction score
1,159
Twende kwenye mada ndugu zangu tatizo gharama za king'amuzi zimepanda sana hivi kwa wenye welewa tatizo ni nini hasa.

Kupanda kwa gharama namna hii hasa kipindi hiki.
 
Dstv wajinga sana hawana vitu vya maana afu wanaongeza bei zaidi ya mpira na zile magic bongo na east africa magic hawana cha maana channel za muvi kila sku wanarudia muvi kiufupi nitabadili kifurushi kutoka 44k kuja 23 au 19 kabisa
 
Kama ni mtu wa mpira tafuta kitu inaitwa canal plus. Achana na hao matapeli
 
Back
Top Bottom