Habar wadau mimimni mwanafunzi na napenda kuwa mwalimu hapo baadae ila nashindwa kutofautisha katika matamshi r na l pia the na ze je naweza kubadilika na je ni kwa kufanyaje natanguliza shukran zangu
Kama wewe na Mkurya na umekulia kule ukuryani tatizo lako la R halina ufumbuzi we kafundishe hivo hivo utaeleweka tu na kama ni ndugu yangu wa Katavi na wewe L ndo tatizo wewe nenda hivo hivo watakuelewa tu mbele ya safari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.