Babia Ndonga Shokoloo
Member
- Mar 6, 2017
- 33
- 135
Baada ya kufuatilia kwa muda mrefu kutaka kujua nini hatima ya chaneli za ITV, Star TV, EATV, Clouds TV, Capital TV n.k kutopatikana katika king'amuzi cha Azam, nimekutana na mtonyaji toka Lumumba ambaye hapendezwi na kinachoendelea nchini kwa wakati huu na kuniambia kuwa ukimya wa serikali juu ya sakata hili ni kutaka watu watazame TBC hasa habari ambazo nyingi ni za chama dola.
Huu mpango ni kwasababu Azam inawapenzi wengi hivyo itakuwa ni fursaya pekee kwa chama na serikali kuonekana kwa watu.
Ndio maana kila mwezi kifurushi tunalipa elfu 18 lakini chaneli zaidi ya 6 za ndani ya nchi ( mfano ITV, Star TV, EATV, Clouds TV, Capital TV,Wasafi,n.k ) hazipatikani.
Mtonyaji anaongeza kuwa star times walichukuliwa hatua mara moja lakini Azam inakuwa ngumu sababu ni sehemu ya mkakati.
Huu mpango ni kwasababu Azam inawapenzi wengi hivyo itakuwa ni fursaya pekee kwa chama na serikali kuonekana kwa watu.
Ndio maana kila mwezi kifurushi tunalipa elfu 18 lakini chaneli zaidi ya 6 za ndani ya nchi ( mfano ITV, Star TV, EATV, Clouds TV, Capital TV,Wasafi,n.k ) hazipatikani.
Mtonyaji anaongeza kuwa star times walichukuliwa hatua mara moja lakini Azam inakuwa ngumu sababu ni sehemu ya mkakati.