Kuondoa FRP kwa simu hii solution yake hii hapa

Kuondoa FRP kwa simu hii solution yake hii hapa

Wakuu,
Nadhani imeshindikana tu,
Kila nalojaribu halifanikiwi,
Nabaki kujaza ma program mapya tu kwa laptop ambayo siwezi au sijui kuyatumia,
Niwashukuru tu wote mlionisaidia,
Ahsanteni sana

Pole ndugu... Simu kwa begginner huwa complicated Lakin simu uwanja wake mdogo sana na ili kujua unatakiwa usiwe na papara na ile give up hautaelewa Na utakosa pesa ndogo za Frp kama hiyo... Shida unaonekana unapenda kufanikiwa kwa zoezi lako haraka bila ya kufuata maelekezo sahihi na kujiongeza

Kwani kwa guide hapo juu ni kitu unaweza fanya kwa dakika kumi tu ukitulia...... Sasa kwa mfano kwenye iyo screenshot yako yaani badala ya ku unzip file then unafungua ilo Frp bin file wakati hauna apps husika ya kufungua ilo faili na pia hakuna haja la kufungua.... But yeah atleast you tried.... Uwe na siku njema
 
Yenyewe inaitwa factory settings reset.... Data ni zile za user application ila sio zile ambazo ziko saved kama video au picha
unaipata katika simu zipi? na unaipataje hoyo options?
 
unaipata katika simu zipi? na unaipataje hoyo options?
simu zote za smartphone kwa mfano tecno ukihoald volume up na power button unaingia kwenye factory reset
 
Pole ndugu... Simu kwa begginner huwa complicated Lakin simu uwanja wake mdogo sana na ili kujua unatakiwa usiwe na papara na ile give up hautaelewa Na utakosa pesa ndogo za Frp kama hiyo... Shida unaonekana unapenda kufanikiwa kwa zoezi lako haraka bila ya kufuata maelekezo sahihi na kujiongeza

Kwani kwa guide hapo juu ni kitu unaweza fanya kwa dakika kumi tu ukitulia...... Sasa kwa mfano kwenye iyo screenshot yako yaani badala ya ku unzip file then unafungua ilo Frp bin file wakati hauna apps husika ya kufungua ilo faili na pia hakuna haja la kufungua.... But yeah atleast you tried.... Uwe na siku njema
Sasa Mkuu hapa hiyo Option ya ku Unzip unaipatia wapi kwa mfano??
Hapo nime right-click hilo folder ndio ikaja hivyo.
Haya makitu kweli yanahitaji utaalamu,
upload_2018-1-12_13-4-53.png
 
Sasa Mkuu hapa hiyo Option ya ku Unzip unaipatia wapi kwa mfano??
Hapo nime right-click hilo folder ndio ikaja hivyo.
Haya makitu kweli yanahitaji utaalamu,
View attachment 673799
hapo juu kwenye EXCRACT TO

au sio lazima ufungue unaweza select ilo file alafu ukaright click utaona extract to .. then unaclick hapo unaweza password file litajiextract
 
Well I will add it
Msaada mr.
1.Simu km ipoteza imei. Ukiiflash kwa original firmware inaweza kufix imei?
2.Kwenye crack ya miracle box, ukibonyeza mtk, service kweny mstari wa write, chini kuna button mbili zimemiss ambazo hutumika kurepair imei. Msaada wa kufix hili hizo button mbili zionekane.
Thanks in advance
 
factory data reset inafuta data zote. ukiflash na official firmware faifuti vitu hata kidogo hasa kwenye cm za samsung.
Msaada mr.
1.Simu km ipoteza imei. Ukiiflash kwa original firmware inaweza kufix imei?
2.Kwenye crack ya miracle box, ukibonyeza mtk, service kweny mstari wa write, chini kuna button mbili zimemiss ambazo hutumika kurepair imei. Msaada wa kufix hili hizo button mbili zionekane.
Thanks in advance
 
hapo juu kwenye EXCRACT TOISEE

au sio lazima ufungue unaweza select ilo file alafu ukaright click utaona extract to .. then unaclick hapo unaweza password file litajiextract
Aisee
 
Msaada mr.
1.Simu km ipoteza imei. Ukiiflash kwa original firmware inaweza kufix imei?
2.Kwenye crack ya miracle box, ukibonyeza mtk, service kweny mstari wa write, chini kuna button mbili zimemiss ambazo hutumika kurepair imei. Msaada wa kufix hili hizo button mbili zionekane.
Thanks in advance
aina gan ya simu?

pia option ya miracle ni press ctrl M
 

NIMEONA WATU WAKIANGAIKA JINSI YA KUTOA FRP KWA TECNO N2 ANDRID 6.0 SASA SOLUTION NI HILI NIMEWALETEA FILE DOGO TU AMBALO LIKO CUSROMIZED LINAWEZA KUTOA FRP KWA SIMU YA TECNO N2 BILA KUPOTEZA DATA



DOWNLOAD FLASH FILE HERE

frp n2(L004).zip

DOWNLOAD ALAFU UNZIP FILE ALAFU TUMIA SP FLASH KUFLASH HILI FILE

PASSWORD: L004

tecno-n2-jpg.673072


HAPPY FLASHING

L004
aisee naomba tecno s1 frp file
 
Mafundi na experts wote wa frp nami ni mhanga wa hili tatizo jamani nasaidika vp?nina tecno n2 yani inasumbua sana haitaki kabisa kutoa frp nakosa pesa ebu tupeane maujanja plz.
 
Nikiwa mbali na pc tecno n2 mi nazitoa kwa mkono tu hiyo frp yake dakika 10 tu nishamaliza


ila nikiwa geto ndo natoaga kwa mtk tu dakika 2 tu nishamaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom