Kuondoa e-mail katika samsung acount

Kuondoa e-mail katika samsung acount

msuya4real

Member
Joined
Oct 14, 2016
Posts
76
Reaction score
27
Naomba kujua Jinsi ya Kuondoa E - Mail ya Mtu katka Samsung Account, Simu nilinunua kwa Mtu ambaye Sina namba zake, Nataka nisajili Account Yangu Kwenye Samsung kwa Ajili ya Security
 
Labda nahis kamaanisha ni email na sio E kubwa
Logic yake ni tofauti na hivyo boss.
Kwake email na E-mail(e-mail) moja ni sahihi jingine siyo.
Nami kwangu yote yanaeleweka, lakini moja ni uandishi wa kimazoea na jingine ndilo neno halisi.
 
Futa hiyo barua pepe uliyoikuta, tengeneza yako, rahisi sana.
 
Kuondoa inanitaka niweke Password ya Yule Mtumiaji wa Awali na hata Kufanya Restore inataka Niweke Pasword ya Mwanzo
Hio ni frp email ya Google na sio ya samsung.

Tafuta fundi mwenye box akutolee. Otherwise weka full model ya simu yako wadau watakusaidia.
 
Back
Top Bottom