Kuombwa hela (mizinga) ya wakwe imenichosha

Kuombwa hela (mizinga) ya wakwe imenichosha

Wakuu,

Mimi ni mgeni kwenye ndoa, nina kama mwaka mmoja hivi tokea nimuoe mke wangu. Lakini kitu kilichonifanya niandike huu ni kutokana na kuchoshwa na kuombwa obwa hela na ndugu wa mke wangu.

Sijui utambiwa tusaidie hela ya kitu gani. Jamani matatizo hayaishi ukweni na huku mahari nilitoa na waliniganda sana wakati wa kuitoa.

Sijui nyie wakuu mliokaa kwenye ndoa kwa wakati mrefu mnaepuka vipi hii karaha.
Kila wakikuomba wape afu andika ikifika mwisho wa mwaka kaombe maden unayowadai baada ya hapo uje lete mrejesho kama wameludia
 
Pole bro
Ila naona ulikurupuka kufunga ndoa
Ingestahili ufanye uchunguz juu ya mkeo na familia yao
Sasa angalia omba omba wote wamekugeukia ww
Watimue bana warud walipotoka
hahahahahahaha kwani amekuambia wapo nae? soma bhana msg vzr Mkuu. amesema wanaomba ikimaanisha hata wakiwa makwao.
 
Mkeo ndo anakusnich kwa ndugu zake nakutako show off maanaa kablaa hawajakupiga huo mzingaa lazma wapitie kwa wife wako nae alivyo kichwa majii anakwambiaaa na wewe ulivyo papasii coz anakujua huwez kufurukutaa lazmaa utoe ndo mana unashindwa kumkataliaaa unakimbiliaa jf kuomba ushauri. Hataa ushauriweje kamaa kwa mkeo hufurukutii utaendelea kutobokaa tuu chakufanya anza kuwa na misimamo ya kiume kwa mkeo co akitoa mlio kidogo unampaaa tuu helaa Kama unazinyakuu toiiii
 
Back
Top Bottom