mbasa ya konge
JF-Expert Member
- Nov 10, 2015
- 240
- 599
Wakuu,
Mimi ni mgeni kwenye ndoa, nina kama mwaka mmoja hivi tokea nimuoe mke wangu. Lakini kitu kilichonifanya niandike huu ni kutokana na kuchoshwa na kuombwa ombwa hela na ndugu wa mke wangu.
Sijui utambiwa tusaidie hela ya kitu gani. Jamani matatizo hayaishi ukweni na huku mahari nilitoa na waliniganda sana wakati wa kuitoa.
Sijui nyie wakuu mliokaa kwenye ndoa kwa wakati mrefu mnaepuka vipi hii karaha.
Mimi ni mgeni kwenye ndoa, nina kama mwaka mmoja hivi tokea nimuoe mke wangu. Lakini kitu kilichonifanya niandike huu ni kutokana na kuchoshwa na kuombwa ombwa hela na ndugu wa mke wangu.
Sijui utambiwa tusaidie hela ya kitu gani. Jamani matatizo hayaishi ukweni na huku mahari nilitoa na waliniganda sana wakati wa kuitoa.
Sijui nyie wakuu mliokaa kwenye ndoa kwa wakati mrefu mnaepuka vipi hii karaha.