Kuomba na kunyimwa?

ni muhimu sana kuomba mara nyingi uwezavyo, na kadiri unavyonyimwa zaidi ndivyo karibia zaidi kupewa na unavyokua mzoefu zaidi wa kunyimwa na hatimae kunyimwa kwako linakua ni jambo la kawaida tu.

Ombeni nanyi mtapewa, tafuteni nanyi mtapata, bisheni hodi nanyi mtafunguliwa.

usikate tamaa wala usichoke kuomba 🐒
 
Unamuomba HR unajimaliza unajishusha had siri za ndani kisha anakunyima anaenda staff kwao anaenda kukufanya agenda Daah inauma sana kisa 100k tu
 
Heeeeh! Umefikaje huku tena🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Ulidhani no siri..
Unakjua uswahilini ww, mtu anakunyima ugali ila sio neno...

Naisikiliza ngoma ya nature sitaki demu...
Imefikia kipande kile cha ulipigwa denda mpaka gari ikagoma kwenda..
🤣😂😂
 
Ulidhani no siri..
Unakjua uswahilini ww, mtu anakunyima ugali ila sio neno...

Naisikiliza ngoma ya nature sitaki demu...
Imefikia kipande kile cha ulipigwa denda mpaka gari ikagoma kwenda..
🤣😂😂
Kumbe hujaacha tu🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Mala nyingi naumiaga pale naponyimwa halafu nikicheki bafuni maji hamna sabuni pia hamna,,, aisee hapo nitakasilika. Lakini kama vipo hivyo viwili sihangaiki naenda kuoga
 
We unakunywa WANZUKI kabisa..
Nani hajui humu ww ni mutu ya mutu
ERoni njoo kaka
Nasema kwa kinywa kipana kabisa.. huyu anataka kutu MIXX by yas mie na ndugu yangu ERoni
Tumetoka mbali sana, haiwezekani tuje kuharibu mahusianl yetu kisa mrembo
Kaka,
Wala usiwaze😅😅binafsi nimechoka sana, nguvu zilizobaki ni za kuendea msalani tu!
 
ni muhimu sana kuomba mara nyingi uwezavyo, na kadiri unavyonyimwa zaidi ndivyo karibia zaidi kupewa na unavyokua mzoefu zaidi wa kunyimwa na hatimae kunyimwa kwako linakua ni jambo la kawaida tu.
Naomba 100k mdau nina kipengere
Ombeni nanyi mtapewa, tafuteni nanyi mtapata, bisheni hodi nanyi mtafunguliwa.

usikate tamaa wala usichoke kuomba 🐒
Amen
🐒
 
Acha tu Mahi, siku hizi unaomba unanyimwa halafu unanuniwa. Aliekunyima nae pia anaona aibu. Yaani wote mnaona aibu hadi mnanuniana😀😀
Hakuna namna ukachukua kwa lazima?
Asikuchezee huyo eboo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…