Kuolewa

 
Ndo maana mimi kuolewa sitaki, nataka KUOANA!!!!!!!!!!! LOLEST!

basi wewe kwa hapa AFRCA "utataka" sana! yaani utaendelea kutaka hadi hapo utakapojua uhalisia kwamba haiwezekani kuoana kwa maana ambayo wewe unaitaka then utaolewa!
 
ninaweza kua nimekosea, so definition yako itanipa kitu kipya in my mind.

Hahah!!!

Kwa mujibu wa Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 kifungu cha 9, kinatoa tafsiri ya ndoa kama ifuatavyo:

Ndoa maana yake ni Muungano wa hiari kati ya mwanaume na mwanamke unaokusudiwa kudumu kwa muda wa maisha yao yote

Sheria hii ya ndoa katika 'kifungu cha 63' inaendelea kufafanua yafuatayo kuhusiana na wajibu wa mke na mume ndani ya ndoa kwa habari ya kutunzana.

Katika ndoa mume anao wajibu wa kumkimu mkewe kwa kumpatia malazi, Nguo na chakula, na mke mwenye kipato vile vile anao wajibu wa kumkimu mumewe ikiwa mume huyo:


  • Hajimudu kabisa.
  • Hawezi kupata chumo la Maisha yake kwa sababu ya athari ya akili au afya mbaya
 
Wala usingekuwa nje ya mada mkuu kwasababu mada inaongelea kuolewa hivyo "muoaji" na "muolewaji" atakuwepo. Kiuhalisia, hata iwe kwenye utamaduni upi lazima kuna wajibu ya mume na wa mke kwenye ndoa. Dhana ninayoikataa mimi ni kuangalia wajibu wa mtu mmoja katika hiyo ndoa na kuhitimisha kuwa ni mtumwa kwa sababu ya wajibu alionao (iwe ni kwa sababu za kitamaduni, kisheria au kijamii). Hizi wajibu mara zote ni tofauti na zinahitaji energy tofauti hivyo assessment ya nani ni mtumwa na nasi sio inategemea familia na familia, jamii na jamii etc
 
usiumize kichwa kujiuliza itakuaje, sina mpango wa kuwa 'slave'.

Inaonekana hata nilichoandika hujakielewa

Na kikubwa zaidi usichokielewa ni kuwa sijaumiza kichwa
Halafu hujui ukweli siku ukijua hutaongea haya maneno yako

Subiri muda uongee

Kila la kheri!
 
Inaonekana hata nilichoandika hujakielewa

Na kikubwa zaidi usichokielewa ni kuwa sijaumiza kichwa
Halafu hujui ukweli siku ukijua hutaongea haya maneno yako

Subiri muda uongee

Kila la kheri!

Refer post yako.
Sijacopy ulichosema, nimecomment uliyoyasema.
Upo?
Usiku mwema.
 

Thank you sir.
 
 

you're very right. kwa jamii zingine, wanawake huonekana wanatumikishwa na huo utamaduni wenye mfumo dume. kuna vitu wanawake wengine hufanyishwa ndani ya familia zao hadi unajiuliza kama yeye ni mtumwa au mke. however, kwake inaweza kuwa sio tatizo na atakwambia huo ndio utamaduni.

mtoa mada anaonyesha kuhoji uhalali wa utamaduni huo katika jamii zetu. mfano, mume na mke wamekwenda shamba alfajiri. mke anabebs mtoto mgongoni, ndoo ya maji kichwani. mkono mmoja ameshika gelani na mkono mwingine ameshika kikapu chenye chakula/kifungua kinywa. mume kavaa koti lake, amebeba panga na jembe huku akitembea mbele au nyuma akipiga mluzi. watalima weeee. jioni wanaporudi, mume anabeba gogo moja pamoja na panga. jembe anamwachia mke mwenye mtoto mgongoni, mzigo wa kuni kichwani uliofungwa pamoja na majembe mawili: lake na la mumewe. juu ya mzigo wa kuni kuna koti la mumewe. mkono mmoja amebeba gelani yenye maji. wakifika nyumbani mke huyu huyu amwandalie mumewe maji ya kuoga, aandaye chakula, amlishe mtoto.........majukumu ni mengi. ukimuuliza atakujibu ni utamaduni . utamaduni my nose!

anyway, you may take it or leave it lakini kuna mambo yanawaumiza sana wanawake
 
Nakubaliana na wewe mfumo dume ndio tatizo na unawaathiri wote wanaume na wanawake.

kabisaaa mkuu. jamii ijikomboe au ikombolewe kifikira japo najua tuna safari ndefu. namshukuru mleta mada kwa kuanza kujikomboa kifikira
 

kuna vitu huhitaji kauli ya mwisho lakini isiwe wewe tu ndo wa kutoa kauli ya mwisho. kuna wakati mwenzio akawa na mawazo ya kujenga zaidi kuliko yako lakini kwa sababu ya kuwa na "kauli ya mwisho" mkaangamia. mume au mke anaweza kutoa kauli ya mwisho kuwa watoto wa kike wasiende shule..... kiwanja kisinunuliwe mwaka huu......lazima tuzae watoto watano.... n.k bila sababu za kuridhisha kwa kila kauli. hali hii haikubaliki ktk jamii

kwa nini kusiwe na majadiliano? kuna wanaume wengine hawana busara na hekima. wakiwa na kauli za mwisho itakuwaje?
kuna wanawake wengine busara na hekima zao zinawatosha wenyewe. nao wakiwa na kauli za mwisho tutafika?
 
usiumize kichwa kujiuliza itakuaje, sina mpango wa kuwa 'slave'.

You are already a slave! Waiting to be approached to get laid is another form of slavery!

Ruka mkojo, kanyaga mavi.. unknowingly! Ujana mzuri sana since you have options, hence choices to make! But time flies, najua utatudi humu siku moja na malalamiko!
 
Were you the one who sold me?
Or you are a slave master?
Dont be ......
Back off...
Gud mng.
 

Absolutely right!!!! Nimeipenda sana hii!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…