Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,565
- 188,766
Habari.
Kichwa cha uzi ni maneno ya mstari mmoja wa nyimbo ya Ngwair ft Mwana FA & Lady Jaydee unaenda kwa jina la Sikiliza ambayo ilitoka miaka ya nyuma ila kama umetoka jana.
Leo nimewakumbusha kwa wote watakao hitaji kukumbushwa sina mengi zaidi ya hayo maneno ya binamu. (Mwana FA)
"Wenye upeo mdogo ndo daima wanakuwa vicheche kuolewa sio lazima japo inaongeza heshima ina hadhi yake, hawatajali mke wa kigogo au wamkulima"
Ongeza pia mistari ya huyu binamu (Mwana-FA) alimalizia kwa kuhitimisha na mistari hii:-
"Na ole wenu msiopenda kutafuta vyenu mnatamani tu vya wenzenu ndio maana huwa mnamegwa na wazee umri wa babu zenu"
Niamini, Binamu
Nawasilisha Mzee Mkoloni
Cc: Kichwa Kichafu.
Kichwa cha uzi ni maneno ya mstari mmoja wa nyimbo ya Ngwair ft Mwana FA & Lady Jaydee unaenda kwa jina la Sikiliza ambayo ilitoka miaka ya nyuma ila kama umetoka jana.
Leo nimewakumbusha kwa wote watakao hitaji kukumbushwa sina mengi zaidi ya hayo maneno ya binamu. (Mwana FA)
"Wenye upeo mdogo ndo daima wanakuwa vicheche kuolewa sio lazima japo inaongeza heshima ina hadhi yake, hawatajali mke wa kigogo au wamkulima"
Ongeza pia mistari ya huyu binamu (Mwana-FA) alimalizia kwa kuhitimisha na mistari hii:-
"Na ole wenu msiopenda kutafuta vyenu mnatamani tu vya wenzenu ndio maana huwa mnamegwa na wazee umri wa babu zenu"
Niamini, Binamu
Nawasilisha Mzee Mkoloni
Cc: Kichwa Kichafu.