Shida yao umalaya tuu... hawaridhikii sijui ni kule kufugwaa na serikali na kupewa kila kitu na nchi yenyewe kisiwa cha uvumilivuu wamejazanaa depoo tuuu hawana cha kufanya hivyo ni story za ngono tuuu wanapgaa na kutiana stimuu,kufundshana ukiwa na mwanamke mfanye hivi mbinuee vile ukiona mkeo anashindwaa tafuta wa njee
It depends.Kuna mtu ukiwa nae unamsoma kama ni mpenda maendeleo au vipi.Hata katika story zenu utagundua so hata yeye atakuwa anajua kwa muda aliokaa naye kama ni wamaendeleo ama vipiSmart women marry rich men.Huyo hapana aisee .Utakufa maskini wewe shauri yako.Tafuta mwanaume anaejituma kipesa.Utaishia kukaa gongolamboto wewe ok
Wanajeshi wamefunzwa utii na nidhamu, mwanamke anayejitambua akimkamata mwanajeshi atamuendesha kama robot!
Dah........ndio ilikuwa maanake hii.........?......
Mwanaume kuwa Mjeda haina tatizo,ila Kumuoa mwanamke Mjeda ndio kuna walakini hapo...!!!
Nina boyfriend ambaye soon atakuwa mchumba wangu kwan anataka apeleke posa home na kutoa mahali ili shughuli nyingne ziendelee.Tatizo langu lililonileta hapa ni;
1.Familia yangu pamoja na marafk zangu wako against na progression yake(uanajeshi)na hii inanipa wasiwasi sana though maamzi ni ya kwetu wanasema anaweza badilika na asilimia kubwa ya ndoa nyingi za wanajeshi zimejaa matatizo ....though Mimi nimepuuza naomba Mwenye ujuzi ,ushauri kuhusu hawa watu anijuze/kunipa mwanga nisije kukosea hapa,kwani wanasema kosea yote ila sio kwenye ndoa.
2.Kwa upande wangu namuamin na napuuza hayo mameno lakin roho nyingne inaniambia inabid niwe makini na haya maamz nayokuja kuyafanya since yanahusu maisha yangu.Nawasilisha ushauri wako ni muhimu sanaaa
Jf ni sehemu ambayo kuna watu wa aina mbalimbali na wenye ujuzi tofauti,na pia mwisho maamuzi yanabaki kwangu mwenyeweKwahiyo unaamini JF kuliko wazazi wako....!?
Kweli wanawake hawaeleweki. Si huwa mnasema mnataka security?
For real tho, kama umeamua kupuuza, endelea kupuuza all the way. Ni watu wanaoifanya profession, sio profession kuwafanya watu. Ndio maana wapo hata viongozi wa dini wanaofanya maovu na uchafu kuliko watu wengine.
Baadhi ya dada zetu wanapitia kipindi kigumu sana. Wapo kuangalia title ya mtu badala ya kuangalia mambo ya msingi yanayojenga ndoa.9
Nina rafki angu(mjeda) alikuwa na galfrnd wake toka chuo huko arusha,baada ya kumaliza chuo gal akapata kazi benk huko Dom jamaa akaingia jeshi thou gal alikuwa hataki jamaa aingie jeshi(kisa:anasema eti wanajeshi huwa wanakuwa na roho mbaya),jamaa akaenda zake Monduli akarudi na nyota mbili,gal akaanza visavisa mwisho wakamwagana!Jamaa akapata mdada mwingine wakafunga ndoa saiv ana watoto wawili maisha yake yako poa tu!Yule gal katika pitapita yake akakutana na Dokta wa binadamu,mdada akamaind title la udokta akaingia kwa jamaa wakafunga ndoa toka mwaka 2012 mpaka leo hana mtoto halafu Dokta aishi visa,yeye na marafiki na starehe,gal anakonda kwa stress mpk anatia huruma!USHAUSI WANGU;kaa umchunguze huyo mjeda ukiona anakidhi haja yako usimwache aondoke ila ukiona hakidhi haja ya moyo wako achana nae(lkn usimwache kwasababu ni mjeda)
Jibu yafuatayo nikusaidie!
Una miaka mingapi?
Huna kichaa?
Una elimu gani?
Ulitegemea kuolewa na mwenye kazi gani?
Unafanyia kazi wapi?
Ubikira?
Watakusaidia kuolewa hao ndugu zako au marafiki zako?
Ukileta usenge we unategemea uchekewe tu?
Au unataka mwanaume muelewa, yaani ukirudi umelewa sawa, ukichelewa sawa, semina zisizoisha sawa?