Kuoa mwanamke wa kichaga

Kuoa mwanamke wa kichaga

ukabila TZ! Eti unapenda kwa kigezo cha kabila!pity u..
 
ndugu Zangu wanajf,nipo katika wkt mgumu wa kuamua nifanyeje kutokana na hali ilvyo,nina mpenz wangu na ninampenda sana naye pia naamini ananipenda pia, ni kabila lake, yaani ndugu, jamaa na marafik hawataki kusikia kabila hlo kabisa,uamuzi wa kuoa upo mikonon mwangu lakn kwa vile maisha hayaeleweki. <br />
<br />
Nahofia hatapata support yoyote kutoka kwa ndugu kwnye malez na matunzo ya wanangu endapo nitalazmisha ndoa kisha nikaondoka duniani kabla yake make maisha hayaeleweki kesho ktatokea ktu gani,ndugu zangu nishaurin nifanyeje,either nimuache au nimweleze wazi ajue lakn nitamwachaje bila kosa? <br />
<br />
Dondoshen ushaur wa maana bandugu coz ths is jus a ver sensitive issue!

Mkuu nakupa ushauri huu zingatia.
sijajua huyo mwanamke ni mchaga wa wapi mana wachaga wanatofautiana.
Kama ni mmachame usithubutu kabisa kumuoa tena kimbia na umkwepe haraka.

Tabia yao.
Wachapakazi na watafutafutaji wazur wa pesa, wasimamiz wazuri wa biashara na wanakua na mapenz mazito kabla hujamuoa.

Matatizo.
Wanapenda sana kuwa viongoz wa familia, i mean utakua chini mkeo kwa kila kitu.
Wabishi,wagomvi na wanajua kupigana i mean ukileta za kujua anakudunda.

Mwisho kabisa ambalo ndio kuu ni kwamba hawa wana tabia ya kuua wanaume ili tu warithi mali. I mean mtatafuta pamoja bt mkisha zipata tu lazima akuwahishe na akikuonea huruma sana anakupoozesha upande mmoja wa mwili unakua mtu wa kutulia ndani tu.
Anko wangu yamemkuta hayo.
Kila la heri.
 
vita ni vita muraa inabidi uoe mkurya mwenzako mchaga ataweza vita kweli?
 
Mkuu nakupa ushauri huu zingatia.
sijajua huyo mwanamke ni mchaga wa wapi mana wachaga wanatofautiana.
Kama ni mmachame usithubutu kabisa kumuoa tena kimbia na umkwepe haraka.

Tabia yao.
Wachapakazi na watafutafutaji wazur wa pesa, wasimamiz wazuri wa biashara na wanakua na mapenz mazito kabla hujamuoa.

Matatizo.
Wanapenda sana kuwa viongoz wa familia, i mean utakua chini mkeo kwa kila kitu.
Wabishi,wagomvi na wanajua kupigana i mean ukileta za kujua anakudunda.

Mwisho kabisa ambalo ndio kuu ni kwamba hawa wana tabia ya kuua wanaume ili tu warithi mali. I mean mtatafuta pamoja bt mkisha zipata tu lazima akuwahishe na akikuonea huruma sana anakupoozesha upande mmoja wa mwili unakua mtu wa kutulia ndani tu.
Anko wangu yamemkuta hayo.
Kila la heri.
waongo wote sehemu yao ni lile ziwa liwakalo moto subiri uone kama wewe na mkeo ingawa sio mmachame nani ataanza kufa. ovyoooooooooooooo
 
Bebiii umeona eehhh. Huyo jamaa anajustfy kitu ambacho ni unjustfiable. Anajaribu kuleta story za kizamani miaka hiyo tena za kutunga ili kuwazibia watu riziki zao
 
Jamni hii ni kweli kabisa, dada zetu wa kichaga hamjui kitu kabisa.
Nashangaa mmekulia mjini, mmejichanganya lakini badooo kabisa!

mmh jaman tunajitahidi suk hizi mtupe basi hata wasifu wetu
maana hao wazaramo sidhani hata kama wapo humu jF (natania) sifa za kukatika kila siku zao nasie twastahili jamni tupeni hata progress ya improvement tu basi ...lololh
 
<br />
<br />
kweli wadada wa kichaga tuna rock! Wanatupenda, wanatuogopa, hapo chacha! ILA MWATAKIWA KUJUA MWANAMKE MMOJA WA KICHAGA ANAUWEZO MKUBWA KULIKO WANAUME 5 WA KABILA ZINGNE KTK MAAMUZI NA UZALISHAJI MALI.

yani tupo sokoni vibaya mno mpaka kerooooooo
 
Mkuu nakupa ushauri huu zingatia.<br />
sijajua huyo mwanamke ni mchaga wa wapi mana wachaga wanatofautiana.<br />
Kama ni mmachame usithubutu kabisa kumuoa tena kimbia na umkwepe haraka.<br />
<br />
Tabia yao.<br />
Wachapakazi na watafutafutaji wazur wa pesa, wasimamiz wazuri wa biashara na wanakua na mapenz mazito kabla hujamuoa.<br />
<br />
Matatizo.<br />
Wanapenda sana kuwa viongoz wa familia, i mean utakua chini mkeo kwa kila kitu.<br />
Wabishi,wagomvi na wanajua kupigana i mean ukileta za kujua anakudunda.<br />
<br />
Mwisho kabisa ambalo ndio kuu ni kwamba hawa wana tabia ya kuua wanaume ili tu warithi mali. I mean mtatafuta pamoja bt mkisha zipata tu lazima akuwahishe na akikuonea huruma sana anakupoozesha upande mmoja wa mwili unakua mtu wa kutulia ndani tu.<br />
Anko wangu yamemkuta hayo.<br />
Kila la heri.
<br />
<br />
ni MROMBO kaka,thanxs sana kwa ushauri mzuri mkuu
 
waongo wote sehemu yao ni lile ziwa liwakalo moto subiri uone kama wewe na mkeo ingawa sio mmachame nani ataanza kufa. ovyoooooooooooooo

Lahaula! Asa atajustfy vipi hii mtu wangu si atakuwa ameshafariko?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom