Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,811
- 623
hii 2011 jamani, hiyo familia bado ipo kwenye miaka ya 47.......na vigezo walivyokupa vya kutokuoa mchaga ni vipi...kazi kweli kweli kwenye jamniii zetu.
unawajua wamachame ww?!
hii 2011 jamani, hiyo familia bado ipo kwenye miaka ya 47.......na vigezo walivyokupa vya kutokuoa mchaga ni vipi...kazi kweli kweli kwenye jamniii zetu.
Nenda kwa Wakwere au Wazaramo 🙂🙂🙂
hahahahahah acha vituko
kama kuna ****** au mzaramo humu anipm basi.nataka wa humu humu jfNenda kwa Wakwere au Wazaramo 🙂🙂🙂
kama kuna ****** au mzaramo humu anipm basi.nataka wa humu humu jf
nashangaa nikiliandika linakataaHilo kabila la Star 🙂🙂🙂 ni kabila gani bebii!? hahahahaha lol!
labda ni Wasuku-manashangaa nikiliandika linakataa
nashangaa nikiliandika linakataa
ngoja nijaribu tena wakwere na ban itafata nini?Hahahahahahah kabila kubwa ati! Haliandikwi hovyo hovyo lol!
ndugu Zangu wanajf,nipo katika wkt mgumu wa kuamua nifanyeje kutokana na hali ilvyo,nina mpenz wangu na ninampenda sana naye pia naamini ananipenda pia, ni kabila lake, yaani ndugu, jamaa na marafik hawataki kusikia kabila hlo kabisa,uamuzi wa kuoa upo mikonon mwangu lakn kwa vile maisha hayaeleweki. <br />
<br />
Nahofia hatapata support yoyote kutoka kwa ndugu kwnye malez na matunzo ya wanangu endapo nitalazmisha ndoa kisha nikaondoka duniani kabla yake make maisha hayaeleweki kesho ktatokea ktu gani,ndugu zangu nishaurin nifanyeje,either nimuache au nimweleze wazi ajue lakn nitamwachaje bila kosa? <br />
<br />
Dondoshen ushaur wa maana bandugu coz ths is jus a ver sensitive issue!
Kabila ni muhimu sana,,,,ukabila TZ! Eti unapenda kwa kigezo cha kabila!pity u..
waongo wote sehemu yao ni lile ziwa liwakalo moto subiri uone kama wewe na mkeo ingawa sio mmachame nani ataanza kufa. ovyooooooooooooooMkuu nakupa ushauri huu zingatia.
sijajua huyo mwanamke ni mchaga wa wapi mana wachaga wanatofautiana.
Kama ni mmachame usithubutu kabisa kumuoa tena kimbia na umkwepe haraka.
Tabia yao.
Wachapakazi na watafutafutaji wazur wa pesa, wasimamiz wazuri wa biashara na wanakua na mapenz mazito kabla hujamuoa.
Matatizo.
Wanapenda sana kuwa viongoz wa familia, i mean utakua chini mkeo kwa kila kitu.
Wabishi,wagomvi na wanajua kupigana i mean ukileta za kujua anakudunda.
Mwisho kabisa ambalo ndio kuu ni kwamba hawa wana tabia ya kuua wanaume ili tu warithi mali. I mean mtatafuta pamoja bt mkisha zipata tu lazima akuwahishe na akikuonea huruma sana anakupoozesha upande mmoja wa mwili unakua mtu wa kutulia ndani tu.
Anko wangu yamemkuta hayo.
Kila la heri.
Jamni hii ni kweli kabisa, dada zetu wa kichaga hamjui kitu kabisa.
Nashangaa mmekulia mjini, mmejichanganya lakini badooo kabisa!
<br />
<br />
kweli wadada wa kichaga tuna rock! Wanatupenda, wanatuogopa, hapo chacha! ILA MWATAKIWA KUJUA MWANAMKE MMOJA WA KICHAGA ANAUWEZO MKUBWA KULIKO WANAUME 5 WA KABILA ZINGNE KTK MAAMUZI NA UZALISHAJI MALI.
<br />Mkuu nakupa ushauri huu zingatia.<br />
sijajua huyo mwanamke ni mchaga wa wapi mana wachaga wanatofautiana.<br />
Kama ni mmachame usithubutu kabisa kumuoa tena kimbia na umkwepe haraka.<br />
<br />
Tabia yao.<br />
Wachapakazi na watafutafutaji wazur wa pesa, wasimamiz wazuri wa biashara na wanakua na mapenz mazito kabla hujamuoa.<br />
<br />
Matatizo.<br />
Wanapenda sana kuwa viongoz wa familia, i mean utakua chini mkeo kwa kila kitu.<br />
Wabishi,wagomvi na wanajua kupigana i mean ukileta za kujua anakudunda.<br />
<br />
Mwisho kabisa ambalo ndio kuu ni kwamba hawa wana tabia ya kuua wanaume ili tu warithi mali. I mean mtatafuta pamoja bt mkisha zipata tu lazima akuwahishe na akikuonea huruma sana anakupoozesha upande mmoja wa mwili unakua mtu wa kutulia ndani tu.<br />
Anko wangu yamemkuta hayo.<br />
Kila la heri.
waongo wote sehemu yao ni lile ziwa liwakalo moto subiri uone kama wewe na mkeo ingawa sio mmachame nani ataanza kufa. ovyoooooooooooooo