emma shayo
Member
- Apr 10, 2015
- 78
- 16
Mimi ni kijana na 28 years nilikutana na binti nilimpenda sana kumbe alikua na mtoto kazaa na mwanaume mwingine na mimi pia nilikua na mtoto wa nje niliona isiwe sababu nikaamua kuishi nae toka 2013.
Nilimkuta akitumia sindano za uzazi wa mpango nikamsihi aache akaacha mpaka leo hajawah pata mimba ilileta ugomvi mpaka ikafikia kuniambia mtoto niliezaa na mwanamke mwingine nimesingiziwa iliniuma sana ila nilihamia Mbeya kikazi niliamua kumsaliti nikaanza mahusiano na msichana mmoja akabeba mimba akajifungua mtoto wa kike.
Imeendelea nikaamua kumwambia ilikua ni mziki tuliendelea tukaenda hospital akaangaliwa docta akasema mirija ya uzazi imeziba nilitumia gharama kweli amepona ila mimba bado sasa mimi mtoto wangu wa kwanza yupo std 1 hatujawahi ishi nae yupo kwa wazazi wake na wake yupo kwa wazazi wake.
Imeibuka leo anataka kumleta mtoto aishi na mimi wakati mimi sipo tayari jamani imekua ni ugomvi anaforce kumleta, kiukweli mimi sipo tayari, kaniambia bora tuachane kuliko asiishi na mwanae.
Naombeni ushauri jamani nifanyeje maana kwanza nimechoka kabisa ushauri pliz
Nilimkuta akitumia sindano za uzazi wa mpango nikamsihi aache akaacha mpaka leo hajawah pata mimba ilileta ugomvi mpaka ikafikia kuniambia mtoto niliezaa na mwanamke mwingine nimesingiziwa iliniuma sana ila nilihamia Mbeya kikazi niliamua kumsaliti nikaanza mahusiano na msichana mmoja akabeba mimba akajifungua mtoto wa kike.
Imeendelea nikaamua kumwambia ilikua ni mziki tuliendelea tukaenda hospital akaangaliwa docta akasema mirija ya uzazi imeziba nilitumia gharama kweli amepona ila mimba bado sasa mimi mtoto wangu wa kwanza yupo std 1 hatujawahi ishi nae yupo kwa wazazi wake na wake yupo kwa wazazi wake.
Imeibuka leo anataka kumleta mtoto aishi na mimi wakati mimi sipo tayari jamani imekua ni ugomvi anaforce kumleta, kiukweli mimi sipo tayari, kaniambia bora tuachane kuliko asiishi na mwanae.
Naombeni ushauri jamani nifanyeje maana kwanza nimechoka kabisa ushauri pliz