KUOA / KUOLEWA ....



Sababu za kibiblia katika kuingia katika ndoa ni sababu makini sana.

sitaki chovya chovya tena naomba tujiunge pamoja katika kuijaza hii dunia kama asemavyo BWANA
 
I'm speechless.
 
Blaza umekua ukituonea sana sisi Waafrika kwa matatizo ya akili tuliyonayo.

Hebu wakati mwingine jaribu kutupatia namna ya kutufanya turidhike na haya matatizo

Mwisho nashukuru sana angalau leo hujahusisha ndoa na Chura zako
 
Jambo la lazima ina maana usipolifanya kuna madhala fulani waweza kupata.

Jambo la muhimu, ni optional - waweza fanya au usifanye na maisha yakaenda ....

Kazi kwako; - kwako ni muhimu au ni lazima?
 
Unaweza kuwa umeoa/kuolewa ila ni mzinzi,mlevi hamna mtu mtaani atakuheshimu. You earn respect u just dont get it coz u got hitched!
SIsi ambao tulisoma siasa enzi zile ... nakupa hii itakusaidia ...
"Heshima ya mtu hutokana na huduma yake kwenye jamii"

Alikuwepo mzee mmoja hapa jijini Mwanza; alikuwa mlevi masaa yote ... ila alikuwa mfamasia mzuri sana. Aliheshimika kwa kazi yake hiyo ... na alidharauliwa kwa ulevi wake!
 
Ndio maana pia nikasema HUWEZI KUHESHIMIKA KWA KUWA UMEOA/KUOLEWA tu. Na wewe hii itakusaidia.
 
Kidini? dini ipi hiyo ? mbona kuna thehebu fulani viongozi wake wakuu hawaoi? ulazima unatoka wapi.

Kidunia ... hiyo naweza kubali kwa sababu kidunia hatuna katiba ya kuwa duniani, na bila kuoana kizazi kitafutika tu ...
 
Kidini? dini ipi hiyo ? mbona kuna thehebu fulani viongozi wake wakuu hawaoi? ulazima unatoka wapi.

Kidunia ... hiyo naweza kubali kwa sababu kidunia hatuna katiba ya kuwa duniani, na bila kuoana kizazi kitafutika tu ...
 
NI mpango tu wa kusaidiana kimawazo mkuu!
 
Kuna watu wanandoa lkn hawaeshimiwi na jamii zao. Kila mtu achague wapi atapata furaha yake japo ndoa ni muhimu ila sio lazima.
 
Kuna watu wanandoa lkn hawaeshimiwi na jamii zao. Kila mtu achague wapi atapata furaha yake japo ndoa ni muhimu ila sio lazima.
Umeeleweka vyema.

Wapo wanaoheshimika lakini hawana ndoa ..
Wapo wanaodharauliwa na ndoa wanazo ... hivyo kinacholeta heshima sio ndoa .. ni huduma ya mhusika kwenye jamii anamoishi.

Ila tukumbuke sio lazima kuoa / kuolewa kuwe ni kwa ndoa! Wapo watu walioa / waliolewa na wana heshima zao lakini hawajawahi kuwa na ndoa.
 
Kuna watu wanandoa lkn hawaeshimiwi na jamii zao. Kila mtu achague wapi atapata furaha yake japo ndoa ni muhimu ila sio lazima.
Umeeleweka vyema.

Wapo wanaoheshimika lakini hawana ndoa ..
Wapo wanaodharauliwa na ndoa wanazo ... hivyo kinacholeta heshima sio ndoa .. ni huduma ya mhusika kwenye jamii anamoishi.

Ila tukumbuke sio lazima kuoa / kuolewa kuwe ni kwa ndoa! Wapo watu walioa / waliolewa na wana heshima zao lakini hawajawahi kuwa na ndoa.
 
Wazazi wako waliowana au hawakuowana ?
Eh! sijui nikujibu vipi?

Bila kuoana nisingezaliwa ... ni Adam to Eva tu ndo walipatikana pasipo wazazi wao kuoana (kulingana na biblia)
Je kuoana ni muhimu au ni lazima?
 
Eh! sijui nikujibu vipi?

Bila kuoana nisingezaliwa ... ni Adam to Eva tu ndo walipatikana pasipo wazazi wao kuoana (kulingana na biblia)
Je kuoana ni muhimu au ni lazima?
Kuowa au kuolewa ni mihimu ila sio lazima,
 
Fanya kitu unachoona unakiweza kama huwezi achana nacho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…