Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 424
- 1,044
Kuoa au kuolewa haraka na bahati nzuri ukapata mtoto kwa age hii ndogo kuna faida kuliko kuchelewa.
Maisha ya leo Life Expctance imekua tofauti na zamani hivyo unaweza pata mtoto ukiwa na Age ya 30 Life la leo lenyewe ukiishi sana 57.
miaka 17 kwa malezi ya mwanao hayatoshi.
ila tuzingatie vipaumbele muhimu maana kuna watu wataelewa tofauti hapa
Maisha ya leo Life Expctance imekua tofauti na zamani hivyo unaweza pata mtoto ukiwa na Age ya 30 Life la leo lenyewe ukiishi sana 57.
miaka 17 kwa malezi ya mwanao hayatoshi.
ila tuzingatie vipaumbele muhimu maana kuna watu wataelewa tofauti hapa