Kunywa maji yasiyochemshwa!

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,316
33,125
MTOTO HUYU ambaye jina lake halikuweza kufahamika alinaswa na mtandao wetu maeneo ya Mji Mpya katika Manispaa ya Morogoro jana jioni akinywa maji ya bomba nyuma ya nyumba yao, maji ambayo sio salama.

Mkoa wa Morogoro ni miongoni mwa mikoa yenye idadi kubwa ya ugonjwa wa matumbo (typhoid) hasa kutokana na kunywa maji yasiyokuwa salama. IMG_4021.jpg IMG_4021.jpg
IMG_4021.jpg

PICHA NA DUNSTAN SHEKIDELE, /GPL, MOROGOR :A S thumbs_down:​
 
Kiutaratibu tulitakiwa tusiyachemshe. Mwenzenu wakati ya shule ya msingi na sekondari, nakumbuka tulikua tunakunywa maji ya bomba, yalikua matamu, baridi na salama, naongea miaka ya lmwisho ya sabini na themanini.
Nini kimetokea baada ya hapo?
Nasikia mhusika mkuu mgonjwa, ila Mkuu wa Nchi naye kama kawaida yake hawezi kufanya "maamuzi magumu" kama wenzake wasemavyo, kwaio wizara imekaa tu, ovyoovyo, kama "headless chicken", haijui kama inakwenda mbele wala kurudi nyuma, wizara ya maji ipo kwa jina tu, na DAWASCO, wanatesa watakavyo.
Sijui tuanze maandamano yakutaka kusambaziwa maji nchini? Hela tunayo, leteni maji!
 
MziziMkavu! Picha picha 2nasubiria! Usiwe kama viongozi (PM) wako wa nchi mwongo kila siku kwa wanainchi wake. 2nakusubiria.
 
maji ya dawasco??????

Nina mwaka wa 18 sijui yanafananaje... Toka enzi za huwa hadi dawasco..........

Thanx to my kisima
 
Tatizo la kunywa maji yasiyochemshwa halipo Morogoro tu bali pia lipo katika mikoa mingi ikiwemo Arusha Moshi. Wakazi wengi wa maeneo haya hawanywi maji ya kuchemsha.
 
Back
Top Bottom