Mapi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 6,848
- 2,741
Sijalielewa swali!
kunyonya matiti wakati wa "tendo" kunapunguza kansa ya matiti. sasa huyo kauliza vipi kuhusu masista wanafanyaje? (akitilia maanani "tendo" kwao ni mwiko)
Sijalielewa swali!
Unatamani kujaza inbox yako?
There u go............. OMG keep on doing it hiyo raha haielezeki
halafu we SAYANSIKIMU wawapi wewe...... ndo maana kutwa uko kutafuta mpenzi hupati
hahaha nimekuchagua wewe wengine wanatimiza vigezo vya competition tendering
Nimuone mtu anaongea chochote tu hapa. Mimi ndio nna haki zote zakutatua tatizo hili...
hahahaha iba kiasi mbakishie king of the kings lol
Aaaaah yule kashaexpire ata akirudi nishamaliza yote iko empty
mhhhhhhh mahaba niue naona yanakuathiri napunguza dose lol
Mwambie ajekwangu mimi sina mpenzi,atawambia mwenyewe kuwa amenyonya bila kupenda
lilivyokubwa mdomo wako mdogo sana bado
Mimi napita tu
Unapita unaenda wapi?mie nakusubiri hiyo.
Haya Nimeshafika
Weee hujawahi sikia jina '' ndama mtoto ya n'gombe?''Utandawazi huu utatupeleka mahali pabaya matiti yaliwekwa ili wawe wananyonya watoto tu .Lakini nashangaa siku hata watu wazima wananyonya maziwa ya watoto.Mbona kinyaa.Nikija kulala na mwanamke siwezi kunyonya matiti .Ni kinyaa kwa kweli.
Namie siumeniona,hata mie sina mpenzi basi tuwe wapenzi
Hata mie sina mpenzi SAWA MIMI NIMEKUBALI KABISA KWA MOYO MWEUPE KABISA KARIBU TUANZISHE MAHUSIANO.
Ngoja niwe karibu ukitangaza tenda nikamate!