nkungwe123
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 444
- 95
Majanga!! Lakini ebu soma hapa, wanashauri kubofyabofya siyo kunyonya:
Laboratory experiments showed that applying physical pressure to the cells guided them back to a normal growth pattern. Scientists do not envisage fighting breast cancer with a new range of compression bras, but they believe the research provides clues that could lead to new treatments. Squeeze often -- that's the real message here. Even in public.
"Malignant cells have not completely forgotten how to be healthy; they just need the right cues to guide them back to a healthy growth pattern," said Mr Venugopalan, a doctoral student.
aiseeee.
ninyonyeni mimi sitaki cancer jaamani
ninyonyeni mimi sitaki cancer jaamani
na wahi sanaHaya wahi hapaaaa. Nafasi ni chache
Vinyonyo vyako vidogo huwezi kupata cancer
vikubwa sana mie
- Mkulu Joka kumbe na wewe unaifahamu lugha ya kejeli na huipendi? Mbona makubwa sana haya madogo yana nafuu, eti toka lini hiyo mkulu hupendi lugha za kejeli? au toka Ijumaa mchana? Bwa! ha! ha! .......Hillarious!
- Yaani kumuomba awe careful na kibajaji ni kejeli?
Respect.
FMES!
Kumbe ni tiba mbadala.....
Hivyo vilivyosimana havipati madhara.
Utandawazi huu utatupeleka mahali pabaya matiti yaliwekwa ili wawe wananyonya watoto tu .Lakini nashangaa siku hata watu wazima wananyonya maziwa ya watoto.Mbona kinyaa.Nikija kulala na mwanamke siwezi kunyonya matiti .Ni kinyaa kwa kweli.