Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Hii biashara ilipokuwa imepamba moto, MATAGA walifurahia sana wakiamini CHADEMA itakufa kutimiza azima ya mwenyekiti wao(Mwendazake).
Tulishuhudia wimbi la baadhi ya madiwani, wabunge na wanachama wa CHADEMA wakihamia CCM huku baadhi wakipokelewa kwa mbwembwe kama zile Bombardier au wafalme.
MATAGA na viongozi wao walivimba vichwa, wakanyanyua mabega na kuamimi mwisho wa CHADEMA umefika kumbe akili zao zilikuwa fupi.
Leo hii wamehamishia hasira kwa mwenyekiti wakiamini- kwa ujinga ule ule- kuwa wakimfunga mwenyekiti,, ndio CHADEMA itakufa, ila wajue tu wanajidanganya na muda utawaumbua tena.
Tunawasubiri tena katika hili la.kumuweka ndani mwenyekiti tuone mta-achieve mini zaidi ya aibu na fedheha.
Watakufa watu sio CHADEMA maana Mungu ana mpango na watanzania kupitia chama hiki.Hvyo mtasubiri sana kuiona CHADEMA inakufa.
Leo mmehamia kwa Mbowe!Tunawachora tu.
Tulishuhudia wimbi la baadhi ya madiwani, wabunge na wanachama wa CHADEMA wakihamia CCM huku baadhi wakipokelewa kwa mbwembwe kama zile Bombardier au wafalme.
MATAGA na viongozi wao walivimba vichwa, wakanyanyua mabega na kuamimi mwisho wa CHADEMA umefika kumbe akili zao zilikuwa fupi.
Leo hii wamehamishia hasira kwa mwenyekiti wakiamini- kwa ujinga ule ule- kuwa wakimfunga mwenyekiti,, ndio CHADEMA itakufa, ila wajue tu wanajidanganya na muda utawaumbua tena.
Tunawasubiri tena katika hili la.kumuweka ndani mwenyekiti tuone mta-achieve mini zaidi ya aibu na fedheha.
Watakufa watu sio CHADEMA maana Mungu ana mpango na watanzania kupitia chama hiki.Hvyo mtasubiri sana kuiona CHADEMA inakufa.
Leo mmehamia kwa Mbowe!Tunawachora tu.