Kununua gari kwa mkopo niende wapi Dar?

Kununua gari kwa mkopo niende wapi Dar?

Futota

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2010
Posts
521
Reaction score
88
ndugu wana JF, nataka kununua gari dogo (used) nina US $ 3,000 mkononi ambazo naweza kutoa kama downpayment katika mkopo na kulipa kidogo kidogo kwa mwezi kiasi fulani hadi kumaliza deni la manunuzi. nahitaji gari dogo (sedan) ili nifanye biashara ya taxi, driver mwenyewe.
hapa dar nifike yard gani/ wapi wenye kukubali deal ya namna hii?
labda pia nitahitaji nini zaidi kufanikisha hili?
asanteni sana kwa ushauri
 
Fika Conti car, barabara ya azikiwe opposite na holiday inn, masharti mengine utapewa hapo kama utayamudu waweza fanikiwa
 
toa mawasiliano yako tukupigie kwa sababu hata mimi na carina Ti nilichukua ya mkop hyo pesa uliyonayo nyingi utafanikiwa pale uero camission agent na kama utahitaji nikupeleke ndipo utafanikiwa haraka kwa sababu boc wao ni rafiki yangu, alafu jamaa asumbui hata ukiwa umekwama kulipa na mwenzio nimeshamaliza kulipa nataka kumchukulia mama watoto wangu ingine safi sana weka mawasiliano tukupigie
 
toa mawasiliano yako tukupigie kwa sababu hata mimi na carina Ti nilichukua ya mkop hyo pesa uliyonayo nyingi utafanikiwa pale uero camission agent na kama utahitaji nikupeleke ndipo utafanikiwa haraka kwa sababu boc wao ni rafiki yangu, alafu jamaa asumbui hata ukiwa umekwama kulipa na mwenzio nimeshamaliza kulipa nataka kumchukulia mama watoto wangu ingine safi sana weka mawasiliano tukupigie

nirahisi zaidi kwa mimi kuku contact wewe.
au nipe contacts za huyo agent (euro...), naweza kwenda binafsi
shukrani!
 
toa mawasiliano yako tukupigie kwa sababu hata mimi na carina Ti nilichukua ya mkop hyo pesa uliyonayo nyingi utafanikiwa pale uero camission agent na kama utahitaji nikupeleke ndipo utafanikiwa haraka kwa sababu boc wao ni rafiki yangu, alafu jamaa asumbui hata ukiwa umekwama kulipa na mwenzio nimeshamaliza kulipa nataka kumchukulia mama watoto wangu ingine safi sana weka mawasiliano tukupigie

nimevutiwa na maelezo yako, nami nimetamani nipate hapo moja next month nitakuwa na 3m ya down payment hiyo uero camission agent ipo sehemu gani.
thanks
 
sawa nenda maeneo ya kamata kariako uliza uero camission agent panafahamika sana ngoja nitawawekea number zake natumia simu hapa kwenye net
 
nirahisi zaidi kwa mimi kuku contact wewe.
au nipe contacts za huyo agent (euro...), naweza kwenda binafsi
shukrani!

ni email kwa pressdown@hotmail.com tutaonana alafu nitakupeleka
 
Namba za cmu hamtak kutoa,nyie vp inakuwa kama mnataka kufanya biashara ya kuuziana unga?
 
Panahitajika uwazi zaidi wakuu... kuwasiliana kwa email huwanufaisha wawili tuu lkn unapoweka mambo jamvini unawasaidia wengi. Mkubwa CHOMETE hebu twambia wazi kwa sababu wewe ulishakopa tayari:
(1) Masharti gani yanahitajika kwa mkopaji?
(2) Je panakuwa na interest katika malipo unayoyamalizia baada ya kutoa down-payment? kama interest ipo ni % ngapi?
(3) Dhamana ya mkopo ni nini? Au ndo hivyo unapaswa kwenda na mtu anayefahamika hapo Euro?

Asante!
 
Panahitajika uwazi zaidi wakuu... kuwasiliana kwa email huwanufaisha wawili tuu lkn unapoweka mambo jamvini unawasaidia wengi. Mkubwa CHOMETE hebu twambia wazi kwa sababu wewe ulishakopa tayari:
(1) Masharti gani yanahitajika kwa mkopaji?
(2) Je panakuwa na interest katika malipo unayoyamalizia baada ya kutoa down-payment? kama interest ipo ni % ngapi?
(3) Dhamana ya mkopo ni nini? Au ndo hivyo unapaswa kwenda na mtu anayefahamika hapo Euro?

Asante!

well said
 
toa mawasiliano yako tukupigie kwa sababu hata mimi na carina Ti nilichukua ya mkop hyo pesa uliyonayo nyingi utafanikiwa pale uero camission agent na kama utahitaji nikupeleke ndipo utafanikiwa haraka kwa sababu boc wao ni rafiki yangu, alafu jamaa asumbui hata ukiwa umekwama kulipa na mwenzio nimeshamaliza kulipa nataka kumchukulia mama watoto wangu ingine safi sana weka mawasiliano tukupigie
chomotee mimi nipgie kwa 0718868029 sure nahtaj gari kwa mkopo
 
Nami naitaji mkopo wa Gari naombeni kujua utaratibu nini cha kufanya ama niende wapi.no zangu ni 0653670252
,Ahsanteni
 
Back
Top Bottom