Kununiana katika mapenzi

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,082
Reaction score
2,354
Hivi let say una mpenzi wako ambae mko mikoa tofauti,afu ikatokea mkazinguana kidogo hali ambayo ikapelekea mkanuniana..je nikitaka kuanza kujipendekeza kumsemesha,nitaingia na gia gani wakuu?
 
mwandikie sms jifanye umekosea "baby nakuja sasa hivi nina hamu na wewe"
uonee kitakachofuata......
 
Hivi let say una mpenzi wako ambae mko mikoa tofauti,afu ikatokea mkazinguana kidogo hali ambayo ikapelekea mkanuniana..je nikitaka kuanza kujipendekeza kumsemesha,nitaingia na gia gani wakuu?
Pole sana mkuu! Ugomvi wenu umeanza lini?, tatizo lilikuwa ni lipi?
 
Dah Poleee sana chamsingi ni kumtumia sms yenye maneno mazur ya kuomba msamaha kama ulikosea na pia kumsamehe kama alikukosea
 
Jifanye unaumwa.

Mkuu Perry natoka nje ya kesi yako kidogo, ila tabia ya kununa nuna siipendi, huwa nashangaa sana mwanaume akiwa mtu wa kununa nuna. Kitu kidogo jitu limenuna
 
Aiseee sipendi kununiana yani naonaga ni mambo ya kitoto
 
mmmhh kununiana sio issue maisha yenyewe haya mafupi mno, kwa nini kujipa stress. Umenikosea nimekukosea nipe hapohapo makavu live tukiwa wenyewe lakini sio mbele ya kadamnasi, tukitoka hapo yameisha.
 
mmmhh kununiana sio issue maisha yenyewe haya mafupi mno, kwa nini kujipa stress. Umenikosea nimekukosea nipe hapohapo makavu live tukiwa wenyewe lakini sio mbele ya kadamnasi, tukitoka hapo yameisha.

Na kweli manake wengine hawana simile, dakika tu kashakujazia shazi full aibu.
 
Jifanye unaumwa.

Mkuu Perry natoka nje ya kesi yako kidogo, ila tabia ya kununa nuna siipendi, huwa nashangaa sana mwanaume akiwa mtu wa kununa nuna. Kitu kidogo jitu limenuna

Yaani Harufu upo km mm!! tabia ya kununanuna mm siipendi bac tu.Mi huwa nashangaa mwanamume kununanuna tu kitu kidogo lenyewe linanuna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…