Kunuka kikwapa: Fahamu chanzo, tiba na namna ya kuepuka tatizo

Wa IRISH wanaoga once a week tena friday, sasa sijui hapa nani ananuka.

umeniwacha hoi kwa kicheko, ya kweli haya?
 
Je, dada zetu wanadeal vipi na hali kama hii katika mahusioano yao? Haswa tukizingatia kwamba mke au rafiki lazima anajuwa kilema cha mume au boyfriend wake. Je, wakina dada wanawaambia ukweli waume na marafiki zao ili kukabiliana na hili TATIZO?

Wakuu naona kipengele hiki kimesahaulika, mimi naona hapa kuwa harufu hizi si mbaya kwa wote kwani nimepata kusikia kutoka kwa mmojawapo akisema kuwa akimnusa mpenziwe kwapani basi anajihisi kusisimka zaidi. Haijalishi ananukia au ananuka. Kwake anaona raha tu. Lakini kwa vile pia katika jukwaa hili wapo kina dada wengi, nadhani wanaweza kuthibitisha hili.

Bujwazi mimi ni mojawapo wa waathirika wa hii kitu! Kama wenye wasemavyo hii kitu. Kuntu hiii!:A S tongue::A S tongue::A S tongue::A S tongue::A S tongue::A S tongue::A S tongue::A S tongue:
 
Kabisa kabisa, wengine hutumia mouthwash tu, akishapiga pafu mbili tatu za sigara na kahawa huyoooo... hana hata haja ya kupiga msawaki.
Lakini, haiondoi ukweli kwamba kuna watu vikwapa vyao hunuka kupitiliza.

Heri ya anayekoga lakini anajipulizia deodorants au kupaka roll-ons kuliko yule anayekoga lakini hajisugui kikwapa (hata kwa limao), ukimfunua kwapa limejaa minywele na rangi imegeuka ya kahawia...

Una ajenda ya siri ya kutaka watu watapike misosi yao waliyokula leo!!💷💷💷
 
Tatizo mijiafrica mingine ikikosolewa daima dumu huwa inaona inaonewa, mimi nafanya kazi na watu race nyingi lakini kwa uzoefu wangu ni kweli kabisa kuwa mijiafrika tunanuka (most of us) wengi wakiwa ni wanaume na huwa nahisi hawajitambui kama wananuka. Yaan mtu ananuka kikwapa kiasi akikupitia karibu unachanganyikiwa.

Wazungu wana harufu yao ambayo si nzuri sana lakini kamwe hawanuki kikwapa, hii nina uhakika nayo 100% sijui kwanini hawana kikwapa. Harufu yao inatoka kwenye ngozi na kama nilivyosema kwa kweli si mbaya sana kama ya vikwapa vya kiafrika. Imagine mzungu anaweza kukaa hiyo wiki bila kuoga kama wengi walivosema hapa lakini hawezi kunuka kivile, je mwafrika akikaa bila kuoga wiki patakalika? be wise you guys kubalini mnaposhauriwa, badilikeni siyo kujiona inferior all the time inapokuja issue ya kukosolewa, ni kwa manufaa yenu!!
 
1. Kipande cha ndimu unasugua kwapani ukimaliza kuoga kinaondoa harufu.
2. Nyanya unaisaga then unapaka kwapani nayo huondoa kikwapa.
3. Sufuria uliyosongea ugali unailoweka, yale maji uliyolowekea unapakaza kwapani mara utokapo bafuni

Zipo njia nyingi za kiasili, ila inategemea na jinsi mtu alivyo, kwani wengine ni wabishi hujidai hawana kikwapa wakati wanachefua wenzao, na sio kikwapa cha kwapani tu hata kikwapa mdomoni, ila utakuta mtu anajisifia kbs kuwa yeye hana kikwapa, tofauti na mtu mwingine ukijihsi tofauti tu unaenda kupiga mswaki.
 
Jamani hii ya kikwapo iko lakini sasa kuna kero la opposite na hili la kikwapa limeibuka hasa kwa akina kaka walioishi nchi za nje sana hasa marekani.

Wamezowea kuambiwa wananuka vikwapa kwa hiyo wamekuwa extra carefull kiasi cha kuwa wana over use deaodarants. kama sie wenye pua sensitive unaweza ukawa unaenda chafya kila akikukaribia. Sijui huwa hata wanatumia chupa ngapi kwa mwezi!

Kweli tunatakiwa kuondoa kikwapa na harufu nyengine za mwili lakini jamani tufanye aste aste kidogo.
 
Zifuatazo ni hatua tano za kusaidia kuondoa Harufu mbaya ya mwili. 1.)Be Clean in Body and Dress

Since bacteria are mainly responsible for producing BO, cleanliness is an important part of the total solution. Bathe daily, using a mild soap (deodorant soaps are not only harsh to the skin; they also encourage the growth of resistant bacteria). Change into a clean set of clothes after bathing.
2.) Examine Your Diet

There are some foods that can contribute to body odors. Meats, alcohol, strong curries are some of them. Try to examine what you eat and its effects on your body.

Body odor is a condition with multiple possible causes. Many therapies exist, ranging from self-care to medical or surgical treatment.

3.) Drink Plenty of Water
You need to be clean inside as well as outside. Water is a good cleansing agent; it helps to flush out unwanted poisons from our bodies. Start your day with a glass or two of fresh clean water (this also helps to stimulate bowel movement) Strive to drink the usual norm of eight glasses a day.

4.) Practice Daily Elimination
Daily elimination helps your body to remove harmful waste substances that will make you sick. Strive for a diet that is more alkali than acidic. Reduce meats, fats and sugar intake Eat more fiber rich foods, especially fruits and vegetables. This will even positively contribute to your overall health.

5.) Use a Natural Deodorant
Have you tried baking soda? Its the best kept deodorant secret! Baking soda is effective, natural and economical too. Just keep a box handy in the shower and rub a good amount in your armpits after you towel yourself dry. If you want to add some scent, mix some baby powder. If you want to feel extra dry, you can also add some cornstarch. Baking soda is good for many other cleaning and deodorizing uses around the home, the kitchen and even the garage.

Body odor is something that all of us can do without. Apply these tips and banish BO forever from your life!
 
1. kipande cha ndimu unasugua kwapani ukimaliza kuoga kinaondoa harufu.
2.Nyanya unaisaga then unapaka kwapani nayo huondoa kikwapa.
3. sufuria uliyosongea ugali unailoweka, yale maji uliyolowekea unapakaza kwapani mara utokapo bafuni
Zipo njia nyingi za kiasili, ila inategemea na jinsi mtu alivyo, kwani wengine ni wabishi hujidai hawana kikwapa wakati wanachefua wenzao, na sio kikwapa cha kwapani tu hata kikwapa mdomoni, ila utakuta mtu anajisifia kbs kuwa yeye hana kikwapa, tofauti na mtu mwingine ukijihsi tofauti tu unaendakupiga mswaki.

This is hillarious japo hata WoS aligusia 'tiba asilia' hii.
Hapana jamani, haipendezi ukishakoga uchukue tena maukoko ya ugali ujipakaze, khaaa!?
ha ha ha.

Halafu wengi wetu utawasikia "nakwenda kujimwagia maji!"...jamani, tujitahidi kwenda kukoga hasa i.e kujisugua vikwapa, miguu nk, kujimwagia maji ni sawa na kujikosha vumbi tu.
 
Nina rafiki yangu mmoja wa kizungu, yeye anatoka na wanawake weusi tu, nilipomuuliza kwanini anapenda pussy nyeusi, akanijibu weusi ni wasafi sana kuliko weupe,kwasababu tunajihisi tunanuka kwahiyo tuna kuwa na extra care kuhusu usafi wa miili yetu.wa IRISH wanaoga once a week tena friday, sasa sijui hapa nani ananuka.
wao wananuka ndio maana wakagundua ma deodorant na maperfume ili kuficha harufu

Hahaha msichana/mvulana wa Kichina anaweza kukata wiki 2 au tatu ukimuuliza anasema ana save water hahahaha huwezi amini mswaki ndio kabisaa mtu anaweza asiswake zaidi ya mwezi
 
Jamani naomba msaada kwenu kwa anayeifahamu dawa ya kumaliza tatizo hili kwa sababu ninaye mtoto wa miaka 11 wa kike anasumbuliwa na tatizo hili (la kunuka kwapa) hata atoke bafuni kuoga au ni ugonjwa wa kurithi?!
 
Inawezekana ni tatizo linalotokana na mtoto kukua na mwili wake kutoa hormones nyingi....."adolescence/ puberty stage" pengine hali hii itapungua jinsi anavyokua..lakini kwa sasa atumie body deodarant roll on za kupaka kwenye kwapa na deodarant body sprays za kupulizia mwili mzima!! (sio perfume)

Deodarant zenye aluminium chloride hexahydrate kama DRICLOR ambazo hufanya kazi masaa 24 ndizo zinafaa zaidi (sina uhakika kama zinapatika tanzania).

Jamani naomba msaada kwenu kwa anayeifahamu dawa ya kumaliza tatizo hili kwa sababu ninaye mtoto wa miaka 11 wa kike anasumbuliwa na tatizo hili hata atoke bafuni kuoga au ni ugonjwa wa kurithi?!
 
Huo ushauri wa ndimu apake wapi, kwenye kucha au nyayo? wakati umeambiwa tatizo ni mwili mzima. Hayo mawazo ya kisiasa muwe mnayaacha huko huko kwa waganga wenu wa kienyeji. Tatua tatizo kwa mawazo yaliyo hai.
 
Huo ushauri wa ndimu apake wapi, kwenye kucha au nyayo? wakati umeambiwa tatizo ni mwili mzima. Hayo mawazo ya kisiasa muwe mnayaacha huko huko kwa waganga wenu wa kienyeji. Tatua tatizo kwa mawazo yaliyo hai.

jasho linatokaga wapi na wapi?
Kucha na unyayo nazo zinatoa jasho?
Khaaa! Baioloji ya wapi hyo?
 
Awe anapaka ndimu.

Kweli kabisa, tena sehemu zote zinazotowa jasho, kila akioga ajisuguwe na ndimu, kwapani, shingoni, sehemu nyeti, na kwa kuwa bado ni mdogo mama yake anaweza msaidia kwa kumsuguwa ndimu.
 
Kweli kabisa, tena sehemu zote zinazotowa jasho, kila akioga ajisuguwe na ndimu, kwapani, shingoni, sehemu nyeti, na kwa kuwa bado ni mdogo mama yake anaweza msaidia kwa kumsuguwa ndimu.

bora wewe unaelewa hiyo dawa. Kuna dogo hapo chini ameponda. Dah!
 
Huyo atakua yupo kwenye puberty stage na kitalam inashauriwa msichana anapokua kwenye hi stage awe anaobserve usafi (kuoga) wa mara kwa mara ili kuruhu zile njia zinazopitisha jasho kutogandiana na majasho kwan kwakutokea hiv hayo majasho huvunda na hapo ndipo harufu hutokea.
 
Inawezekana ni tatizo linalotokana na mtoto kukua na mwili wake kutoa hormones nyingi....."adolescence/ puberty stage" pengine hali hii itapungua jinsi anavyokua..lakini kwa sasa atumie body deodarant roll on za kupaka kwenye kwapa na deodarant body sprays za kupulizia mwili mzima!! (sio perfume)

Deodarant zenye aluminium chloride hexahydrate kama DRICLOR ambazo hufanya kazi masaa 24 ndizo zinafaa zaidi (sina uhakika kama zinapatika tanzania).

Kuna scientific rumors sasa hivi zinazo husisha hii na breast cancer.
 
Ajaribu kutumia shower gel za Radox... Ni nzuri haswa kwa watu wanaotokwa na jasho sana.

Otherwise, kama tatizo linazidi kuwa serious basi mumwone daktari..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom