Kuniona wa Hadhi ya Juu

Kuniona wa Hadhi ya Juu

Kuna mtu anajiona wa Hadhi ya juu sana.

Hata salamu yake naongea kama unamlazimisha hivi, sauti kama anabana pua zote pozi za kujiona na Hadhi ya juu.

Sasa, Leo Mchana Kuna mpangaji nimeambiwa na Dalali anaingia kwenye kibanda Changu.

Nikamwambia atume tu pesa mkataba nitampitishia nikitoka Mishe mishe zangu.

Nafika pale nakutana na Yule mtu wa mapozi yaani, Nashangaa yule mtu kama pozi limemuisha
Kwa mshangao ananiuliza we ndo mwenye nyumba wangu.

Nikaona Bora ni mjibu" Hapana Mimi ni msimamizi tu, nyumba ya kaka yangu"

Kwa Nyodo na Dharau anazo zalau wenzie yule mtu, sio poa kwa kweli ila napenda sana watu tujifunze kueshimiana na kupendana na kutoa kua na dharau kwa wengine hata kama unamuona hana kitu usimzarau kwa kua wewe unakitu Fulani au una Mali.

Jambo la kujifunza kama mtu atakudharau mwache akudharau aliempa yeye ndo alie tunyima sisi.
Usifikiri kila mtu ni mtoto km wewe
 
Shida iko wapi unaanza hangaika na maisha ya watu na mtu anaishi yake hakulishi hakuvishi hakuongeleshi hakupendi nenda kwa watu wengine .
MIe nachukiwa na dunia nzima ila wala sijali . Pale kwenye kibarua changu watu wananiona mwizi yaani na hadhi ya kuweza iba vitu vya mtu .

Mwingine ananiona maskini nikamsalimia akaniona jinga sana hili .
Akaninyima ufunguo wa chooni .
Ila sijajali.
Ipo siku nitaheshimika tu.
 
😂😂 umeanza
Huwa ukijisema kuwa we ni mpole huwa naangalia ID yako halafu nasema "dhambi ya uongo asipoiombea msamaha huyu dada basi itammalizia jehanam!"...😅
 
Huo muda huwa mnautoa wapi? Mtu akiwa na pozi au asipokusalimia unapungukiwa nini?
Ni kweli ukimsalimia mara mbili amenyamaza na wewe unapotezea mazima hata mkikutana mlango wa chooni
 
Ni kweli ukimsalimia mara mbili amenyamaza na wewe unapotezea mazima hata mkikutana mlango wa chooni
Hiii nimeilelewa ntapita nayo, maana Hawa Binadamu wa siku hizi Wanajiona keki.
Nakusalimia mara Moja Tu, ujaitikia napitia. Inakua imeisha hiyo.
 
Back
Top Bottom