fmlyimo
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 331
- 210
Kwa wale wafanya biashara ya kuni au watumiaji wakubwa wa kuni kama viwanda, vyuo au shule.
Napenda kuwatangazia kuwa upo mzigo mkubwa wa kuni zaidi ya tani 200.
Mzigo upo Dar es Salaam.
Ni kuni za miti migumu zinazowaka vizuri na kwa muda mrefu.
Tunauza kwa uzito, tani moja ni shilingi 120,000/=
Vibali vyote vipo.
Karibuni sana.
fmlyimo@gmail.com
0659890000
