dalali maridadi
Member
- Sep 13, 2015
- 49
- 29
- Thread starter
- #101
HapanaJe ulishawahi kuua kunguru au kumpiga kinda wa kunguru
Ova
HapanaJe ulishawahi kuua kunguru au kumpiga kinda wa kunguru
Ova
Ohoooo jiandae na "mdonyoo zaidi ya huo"Mnh hili Lina ukweli? Mana Nina madeni kadhaa hivi?
Sijaelewa nduguItakua una ndonga muundo wa sinia
DuhUtapokea taarifa nyeusi kama rangi ya kunguru ilivyo
No wayKunguru Wana uwezo wa kukariri watu. Possible ulimfanya kitu
Duhkichwan apo pamekaa vizuri kweli maana anaweza donoa akazan ni msosi kumbe sio ni kichwa cha mtu nyoa kibara uone kama atadonoa inawezekana nywele zimekaa kama chakula cha kunguru
Sina kiparaSasa kama umenyoa kipara cha wembe utadonolewa tu
Ni Mimi tu tatizoAngalia mti uliokaribu waweza kuta Kuna makinda yake kwaiyo ni Kama anayalinda usiqaze negative
Mstari ngap ngapSoma Bible juu ya zile ndoto mbili Joseph alitafsiria wafungwa wenzake akiwa gerezani.
Duh shukraniKunguru hasa hawa weusi wa Zanzibar wanauwezo mkubwa sana wa kukariri maadui zao, jaribu kurejesha kumbukumbu zako kama kwa namna yoyte ile uliwahi kuwaletea madhara, ama kuharibu kiota chao au kuua kinda au makinda yao, na hapo una bahati kama alikuwa mmoja tu,huwa wanatabia ya kuitana kuja kushambulia...chukua tahadhali mkuu kuna siku utashambuliwa na kundi la hao kunguru
AiseeAna kiota karibu na hapo unapopita..., huenda unafanana na mtu ambaye anahisi ni threat kwa kizazi chake..., Hii tabia wanayo mwewe kama wewe au anayefanana na wewe alishataka kushusha kiota chao, hapo wanajitahidi tu kujilinda ili hali ile isijirudie
Ndio lkn kidogo sana, kwanini mkuu?Je una ki'patch' cha nywele zenye mvi nyeupe kichwani? Ikiwa ni hivyo inabidi uwe unavaa kama kofia au ukipake rangi nyeusi
ShukraniKasome biblia mwanzo habari za Yusuphu alipofungwa gerezani akakutana na wale wafungwa watatu walioota ndoto na yusuphu akawatafsiria! Mmoja aliota ndoto km hii japo we sio ndoto ila anzia hapo utaelewa!
Habarini! hivi hili swala la kunguru kukudonyoa kichwani Lina maana gani? Mara ya kwanza kunitokea nikafikiri kwa vile nilivaa shati jeusi, lakini Leo pia imenitokea Cha kushangaza ni Mimi tu wengine hawadonyolewi