Kama mheshimiwa EL angeendelea kubaki MP wa nchich yetu tugejikuta tunalambwa ma bilion ya shilling imefahamika.
Mvua ya Thailand maarufu kama mvua ya Lowassa kama makubaliano ya kimkata yagefikiwa ingeligarim kiasi cha pesa za kitanzania bilion kumi na tano.
Taarifa ya mvua hizo, zilikuja baada ya aliyekuwa PM mheshimiwa EL kutembelea nchini Thailand na kutengeneza dili kwa kisingizio cha kukabiliana na ukama katika mabwawa yanayozalisha umeme, likiwe la Mtera na Kidatu, ambayo kwa wakati huo kina cha maji kilishuka na kusababisha serikali kuingia mkata wa kihuni na kampuni hewa ya Richmond.
Mvua ya Thailand maarufu kama mvua ya Lowassa kama makubaliano ya kimkata yagefikiwa ingeligarim kiasi cha pesa za kitanzania bilion kumi na tano.
Taarifa ya mvua hizo, zilikuja baada ya aliyekuwa PM mheshimiwa EL kutembelea nchini Thailand na kutengeneza dili kwa kisingizio cha kukabiliana na ukama katika mabwawa yanayozalisha umeme, likiwe la Mtera na Kidatu, ambayo kwa wakati huo kina cha maji kilishuka na kusababisha serikali kuingia mkata wa kihuni na kampuni hewa ya Richmond.