jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,604
- 3,753
Wadau hamjambo
Nina mtoto wangu katimiza miaka 6 tarehe 10 April mwaka huu....sasa tangu meno mawili ya chini yatoke na kuota mengine ni miezi Sita imepita....mpaka sasa meno ya juu hayajang'oka hata dalili ya kulegea hakuna je kuna tatizo hapo?
Nina mtoto wangu katimiza miaka 6 tarehe 10 April mwaka huu....sasa tangu meno mawili ya chini yatoke na kuota mengine ni miezi Sita imepita....mpaka sasa meno ya juu hayajang'oka hata dalili ya kulegea hakuna je kuna tatizo hapo?