Kungangania madarakani

Nick

Member
May 18, 2009
55
7
WATU WANAONGANGANIA MADARAKANI.
Imekuwa aibu na fedheha pale anayetakiwa kuachia ngazi na badala yake kuendelea kushika nafasi hata kwa njia yo yote ile.
Hii imetokea hospital ya rufaa mojawapo inayoendeshwa na KKKT. Jamaa anadiriki hata kutumia njia za giza ili tuu awe kazini. Imetangazwa rasmi kuwa atastafi rasmi November hii ila yeye bado haridhiki tuu na kwa sasa anahaha kurubuni viongozi wa KKKT Dar ili apewe tena kipindi kingine.
Wafanyakazi wote sio tuu madaktari bali hata wahudum wamekero na yeye kuwepo kwenye uongozi. Naomba uongozi wa kanisa wasimsikilize kwa lo lote lile na kumrudisha tena kwa kigezo eti HAKUPATIKANA MHUSIKA WA KUCHUKUA NAFASI YAKE NA KANISA LIMEMWOMBA KUONGEZA MUDA TENA. Kweli hii itakuwa kero sana sio tuu wafanyakazi bali hata kwa nchi nzima.
 
WATU WANAONGANGANIA MADARAKANI.
Imekuwa aibu na fedheha pale anayetakiwa kuachia ngazi na badala yake kuendelea kushika nafasi hata kwa njia yo yote ile.
Hii imetokea hospital ya rufaa mojawapo inayoendeshwa na KKKT. Jamaa anadiriki hata kutumia njia za giza ili tuu awe kazini. Imetangazwa rasmi kuwa atastafi rasmi November hii ila yeye bado haridhiki tuu na kwa sasa anahaha kurubuni viongozi wa KKKT Dar ili apewe tena kipindi kingine.
Wafanyakazi wote sio tuu madaktari bali hata wahudum wamekero na yeye kuwepo kwenye uongozi. Naomba uongozi wa kanisa wasimsikilize kwa lo lote lile na kumrudisha tena kwa kigezo eti HAKUPATIKANA MHUSIKA WA KUCHUKUA NAFASI YAKE NA KANISA LIMEMWOMBA KUONGEZA MUDA TENA. Kweli hii itakuwa kero sana sio tuu wafanyakazi bali hata kwa nchi nzima.

Chief NSHOMILE nini?
 
WATU WANAONGANGANIA MADARAKANI.
Imekuwa aibu na fedheha pale anayetakiwa kuachia ngazi na badala yake kuendelea kushika nafasi hata kwa njia yo yote ile.
Hii imetokea hospital ya rufaa mojawapo inayoendeshwa na KKKT. Jamaa anadiriki hata kutumia njia za giza ili tuu awe kazini. Imetangazwa rasmi kuwa atastafi rasmi November hii ila yeye bado haridhiki tuu na kwa sasa anahaha kurubuni viongozi wa KKKT Dar ili apewe tena kipindi kingine.
Wafanyakazi wote sio tuu madaktari bali hata wahudum wamekero na yeye kuwepo kwenye uongozi. Naomba uongozi wa kanisa wasimsikilize kwa lo lote lile na kumrudisha tena kwa kigezo eti HAKUPATIKANA MHUSIKA WA KUCHUKUA NAFASI YAKE NA KANISA LIMEMWOMBA KUONGEZA MUDA TENA. Kweli hii itakuwa kero sana sio tuu wafanyakazi bali hata kwa nchi nzima.

Be serious Nick, Unashangaa Mende ******??
 
Back
Top Bottom