penyy, hapana simaanishi kumuonyesha mwenzio upendo ni vibaya wala mrs 007,hajafanya vibaya ila tatizo alilokua nalo ni kwamba anaona sasa yeye anatoa sana kwenye mahusiano na hapohapo hakuna anacho receive,au ana receive kidogo than anachotoa, ebu angalia huu mfano:mtu anatakiwa akifanya kitu kwenye uhusiano basi kuwe na uwiano na mwingine anachofanya,ebu angalia mpigie simu mwenzio mara moja au mbili kisha msubiri yeye naye akupigie,hata hata kama ni mara moja lakini siku nyingine unamfanya akupigie mara mbili wewe unampigia mara moja,hutoweza ona kama hupendwi ila ukiwa unapiga kwa sana ndo utaona hupendwi,utahisi labda unajipendekeza, inakua ngumu kuweka mipaka ila ni nguzo moja tu inayoweza kukusaidia,jisemee moyoni ,kwani akiondoka ndo mwisho wa maisha yangu,ukiona unaogopa uje uko utumwani ndugu yangu, halafu kuna kingine lazima tukifahamu mwanaume na mwanamke ni vitu viwili viliyokua katika mila tofauti,na wote wana tofauti ya kuona jinsi wanapendwa,yaani vitu anavyoangalia mwanaume kama anapendwa ni tofauti na anavyoangalia mwanamke,lakini cha ajabu, vitu hivyo vinategemeana,mfano: mwanamke ukim-care anaona unampenda wakati mwanaume anataka appreciation,sasa ona mwanaume anayetoka safari kambebea mkewe zawadi,mwanamke lazima amu-appreciate jamaa,na jamaa anafeel lovely kwa ajili amekua appreciated,
hapo unakua ulimwengu wa lovely kwa kwenda mbele,ila penny sikushauri upunguze pendo lako kwa mzee ila cha muhimu uwe unajaribu kuweka vitu katika uwiano,