Mshahara umetoka Jana ila naona wengine bado haujasoma.
Mwanzoni nilijua Niko peke yangu ila nimesikia watu kadhaa nao pia wanalalamika
Mimi Binafsi sijawahi kutia Nia popote kwahiyo tafadhali Sana.
Na hii tabia ya kuingiza mshahara kwa mafungu sio tabia ya uchumi wa Kati.
Je, Kuna mwingine nae hajapata humu?
Mwanzoni nilijua Niko peke yangu ila nimesikia watu kadhaa nao pia wanalalamika
Mimi Binafsi sijawahi kutia Nia popote kwahiyo tafadhali Sana.
Na hii tabia ya kuingiza mshahara kwa mafungu sio tabia ya uchumi wa Kati.
Je, Kuna mwingine nae hajapata humu?