Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 5,032
- 15,569
Kwa kumbukumbu zangu magari yenye ngao yalipigwa marufuku kwa sababu ya usalama wa watumiaji wengine wa barabara.
Hii ilisaidia kidogo madereva kuwa makini, hata kama una gari kubwa ilikuwa lazima uwe na nidhamu, ukigonga wenzako basi ujue fedha ya taa na bampa zinakuhusu.
Sasa hivi kila basi wamefunga hizo kitu, mpaka mabasi ya jeshi! Lakini wa malori nao wamenza. Pia pick up trucks hawako nyumba.
Naomba kuuliza kama zimeruhusiwa kisheria ili na sie wengine tukachomelee kwenye 'bebi woka' zetu ili tukwaruzane vizuri huko barabarani.
Hii ilisaidia kidogo madereva kuwa makini, hata kama una gari kubwa ilikuwa lazima uwe na nidhamu, ukigonga wenzako basi ujue fedha ya taa na bampa zinakuhusu.
Sasa hivi kila basi wamefunga hizo kitu, mpaka mabasi ya jeshi! Lakini wa malori nao wamenza. Pia pick up trucks hawako nyumba.
Naomba kuuliza kama zimeruhusiwa kisheria ili na sie wengine tukachomelee kwenye 'bebi woka' zetu ili tukwaruzane vizuri huko barabarani.