Kunani? mbona simanzi nyuso za washiriki na idadi ndogo ya wahudhuriaji ziara za rais Samia?

mwananyaso

JF-Expert Member
Feb 19, 2017
2,843
3,128
Natembea na huu msafara wa rais Samia hapa Dar akiwa katika ufunguzi wa miradi mbalimbali ya kimaendeleo, zikiwemo barabara.

Mwitikio wa wananchi ni hafifu sana na waliopo kwenye hafla hizi sura zao hazina raha kabisa, kulikoni?

Anayeweza tujuza sababu za haya mapungufu atujuze.

Enzi za hayati Magufuli palikuwa hapatoshi, furaha na mapokezi bashasha ya wahudhuliaji, nini kimebadilika?
 
Natembea na huu msafara wa rais Samia hapa Dar akiwa katika ufunguzi was miradi mbalimbali ya kimaendeleo,zikiwemo barabara.
Mwitikio wa wananchi ni hafifu sana na waliopo kwenye hafla hizi sura zao hazina raha kabisa,kulikoni?
Anayeweza tujuza sababu za haya mapungufu atujuze.

Enzi za hayati Magufuli palikuwa hapatoshi ,furaha na mapokezi bashasha ya wahudhuliaji,nini kimebadilika?
Sukuma gang sasa mnaenda kuwa wehu!! Kwa iyo sasa mnaangalia tabasamu za watu ziara au shughuli ya Rais😂😂😂
 
Tume ya uchaguzi 2025 itakuwa ipi?
Washamba gang jiandaeni kulia na kusaga meno 2025, wapinzanj 2025 msisuse uchaguzi make majimbo ya washamba gang ccm hatutayapiginia tutawaacha wagombea wajitetee wenyewe chama tutaelekeza nguvu majimbo ya wahuni gang.
 
Usitake kutufanya hatujui ukweli wa kinachoendelea kwenye ziara za marais wa CCM, kuanzia JK, Magufuli na sasa Samia. Wakati wa Magufuli kwakuwa alikuwa na kiburi cha madaraka, viongozi wa taasisi mbalimbali walikuwa wanashurutishwa kuleta watumishi wao, matajiri kwa hofu ya kubambikiwa kodi, walikuwa wanatoa usafiri kwa ajili ya watu walioshurutishwa kuhudhuria ili kujaza hafla zake. Na wasanii walikuwa wanalipwa ili kuja kutumbuiza ili kuhadaa umma kuwa Magufuli anakubalika sana.

Mwenendo huo umehamishimiwa kwa Mama, maana watu wa protokali wa Magufuli bado wako kwenye mifumo. Tatizo ni kuwa mama huyu hatawali kwa vitisho na jeuri sana kama Magufuli, hivyo inawezekana watu hawafanyi kwa uoga mkubwa kama enzi za Magufuli. Hivyo safari zote hizi za Mama na Magufuli tofauti yake kubwa ni hofu inayotanda kwa waandaaji na wahudhiriaji, na wala sio ushawishi. Enzi za Magufuli, wahudhuriaji 90% walikuwa wanahudhuria hafla zake za shuruti na sio hiyari yao. Kama unataka kupotosha jikite kwenye ukweli huo.
atembea na huu msafara wa rais Samia hapa Dar akiwa katika ufunguzi was miradi mbalimbali ya kimaendeleo,zikiwemo barabara.
Mwitikio wa wananchi ni hafifu sana na waliopo kwenye hafla hizi sura zao hazina raha kabisa,kulikoni?
Anayeweza tujuza sababu za haya mapungufu atujuze.

Enzi za hayati Magufuli palikuwa hapatoshi ,furaha na mapokezi bashasha ya wahudhuliaji,nini kimebadilika?
 
Kwa mfumoko huu wa bei huwezi hudhuria na kuhalalishaji utafunaji wa kodi za wananchi.
Mama katuangusha sana, natumaini yote tuliyokuwa nayo yalianza kuyeyuka mara elfu ya theluji pale Kilimanjaro kileleni tangu Mei mosi 2021. Kwa wananchi hali ni mbaya zaidi tangu mfumko bei upige hadi bei ya chumvi na viberiti, pipi na biskuti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom