Kunani? mbona simanzi nyuso za washiriki na idadi ndogo ya wahudhuriaji ziara za rais Samia?

Washamba gang jiandaeni kulia na kusaga meno 2025, wapinzanj 2025 msisuse uchaguzi make majimbo ya washamba gang ccm hatutayapiginia tutawaacha wagombea wajitetee wenyewe chama tutaelekeza nguvu majimbo ya wahuni gang.

Wapinzani tunaweza kushinda uchaguzi wowote bila kutegemea mifarakano iliyoko ndani ya ccm. Hivyo hatuko tayari kushiriki uchaguzi wenye mifumo iliyofeli kwakuwa kuna tofauti ndani ya ccm. Tunataka tume huru ya uchaguzi, ili tupate viongozi sahihi walio na ridhaa ya umma, na sio kupata bora viongozi kutokana na uhasama ndani ya ccm, kisha wakielewana turudi kwenye tatizo hili hili.
 
Wewe utahudhuria vipi ziara za Rais ambae anadai kuwa urais kwake ni jinga kwa hiyo hauwezi?
View attachment 2033677
Kama rais mwenyewe analia unategemea wananchi tutakuwa kwenye hali gani hadi dakika?
Vilio vimetawala mioyoni mwetu hata hatuwezi jitokeza kwenye ziara zake. Tukija nyuso zetu lazima zitakuwa zimekaa simanzi tu.
images.jpeg
 
Usitake kutufanya hatujui ukweli wa kinachoendelea kwenye ziara za marais wa CCM, kuanzia JK, Magufuli na sasa Samia. Wakati wa Magufuli kwakuwa alikuwa na kiburi cha madaraka, viongozi wa taasisi mbalimbali walikuwa wanashurutishwa kuleta watumishi wao, matajiri kwa hofu ya kubambikiwa kodi, walikuwa wanatoa usafiri kwa ajili ya watu walioshurutishwa kuhudhuria ili kujaza gafla zake. Na wasanii walikuwa wanalipwa ili kuja kutumbuiza ili kuhadaa umma kuwa Magufuli anakubalika sana.

Mwenendo huo umehamishimiwa kwa Mama, maana watu wa protokali wa Magufuli bado wako kwenye mifumo. Tatizo ni kuwa mama huyu hatawali kwa vitisho na jeuri sana kama Magufuli, hivyo inawezekana watu hawafanyi kwa uoga mkubwa kama enzi za Magufuli. Hivyo safari zote hizi za Mama na Magufuli tofauti yake kubwa ni hofu inayotanda kwa waandaaji na wahudhiriaji, na wala sio ushawishi. Enzi za Magufuli, wahudhuriaji 90% walikuwa wanahudhuria hafla zake za shuruti na sio hiyari yao. Kama unataka kupotosha jikite kwenye ukweli huo.
Prapaganda hii iliferi baada ya kifo chake ,ummati kubwa uliojaa simanzi ya kuodoka kwake na dunia inajua hivyo,hutaki kamtawaze gaidi Mbowe
 
Usisahau kuwa ndio kifo watu waliojitokeza kusherehekea walikamatwa na polisi ili kuficha ukweli wa idadi ya watu waliokuwa hawamkubali. Ile promo mliyolazimisha kumjengea baada ya kufariki ili ionekane kuwa alikuwa anakubalika, watu wote waeruvu tuliing'amua.
ndio rais kwenye kifo chake wananchi walimiminika kwa wingi kuonyesha upendo kwake,na toka afariki wamekata tamaa
 
Wapinzani tunaweza kushinda uchaguzi wowote bila kutegemea mifarakano iliyoko ndani ya ccm. Hivyo hatuko tayari kushiriki uchaguzi wenye mifumo iliyofeli kwakuwa kuna tofauti ndani ya ccm. Tunataka tume huru ya uchaguzi, ili tupate viongozi sahihi walio na ridhaa ya umma, na sio kupata bora viongozi kutokana na uhasama ndani ya ccm, kisha wakielewana turudi kwenye tatizo hili hili.
Nyie mkisusa sie hatuna Cha kupoteza, mabranch yetu yatashiriki na tutapata legitimacy ya kushika dola, asa mfano ccm tunawezaje kupoteza muda kuiba kura au kutangaza kibabe Jimbo la gwajima? Majimbo Kama hayo tutayaacha uchaguzi uwe huru na wa haki na wakurugenzi wa majimbo ya washamba gang tutawapa huo mwongozo.
 
Prapaganda hii iliferi baada ya kifo chake ,ummati kubwa uliojaa simanzi ya kuodoka kwake na dunia inajua hivyo,hutaki kamtawaze gaidi Mbowe

Kwanini mlizuia umati uliokuwa unasherehekea kifo chake ili tupime haya mahaba yako? Usipanick, dhalimu alikuwa sio, ww endelea kunyweshea maua hapo kwenye kaburi lake.
 
Weye uliyeleta hii mada hapa Jf,bila shaka unalo lako jambo.
La pili..soote tutauonja umauti na hakuna atakae baki isipokuwa ALLAH (SW) tu.
La tatu..piga ua kwa sasa Mh.Rais na Mama Samia tu.
La nne..hatuna budi kumuunga mkono

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Natembea na huu msafara wa rais Samia hapa Dar akiwa katika ufunguzi wa miradi mbalimbali ya kimaendeleo,zikiwemo barabara.
Mwitikio wa wananchi ni hafifu sana na waliopo kwenye hafla hizi sura zao hazina raha kabisa,kulikoni?
Anayeweza tujuza sababu za haya mapungufu atujuze.

Enzi za hayati Magufuli palikuwa hapatoshi ,furaha na mapokezi bashasha ya wahudhuliaji,nini kimebadilika?
Mkwebha lekagi kamtandolee....pasuwaneni tuh
 
Nyie mkisusa sie hatuna Cha kupoteza, mabranch yetu yatashiriki na tutapata legitimacy ya kushika dola, asa mfano ccm tunawezaje kupoteza muda kuiba kura au kutangaza kibabe Jimbo la gwajima? Majimbo Kama hayo tutayaacha uchaguzi uwe huru na wa haki na wakurugenzi wa majimbo ya washamba gang tutawapa huo mwongozo.

Hata sasa nyie na matawi yenu mnashiriki uchaguzi mdogo huko Ngorongoro, mbona kumedoda? Bila wapinzani wa kweli huo uchaguzi hakuna uwezekano wapiga kura kufika 5m nchi nzima. Huo ndio ukweli ambao kwa sasa haukwepeki. Hata ikifanikiwa mkakaza fuzu katika mazingira hayo, bado mabadiliko ya msingi yatafanyika na ndio itakuwa kifo chenu. Hii ni kwa mtu mwenye mtazamo wa mbali lakini.
 
Wapinzani tunaweza kushinda uchaguzi wowote bila kutegemea mifarakano iliyoko ndani ya ccm. Hivyo hatuko tayari kushiriki uchaguzi wenye mifumo iliyofeli kwakuwa kuna tofauti ndani ya ccm. Tunataka tume huru ya uchaguzi, ili tupate viongozi sahihi walio na ridhaa ya umma, na sio kupata bora viongozi kutokana na uhasama ndani ya ccm, kisha wakielewana turudi kwenye tatizo hili hili.
Meku kumbuka kwamba mwenyekiti wetu yupo jela, tuandamane tukamtoe. Hiz mambo za kuingilia ugomvi wa CCM hazitatuvusha meku.

Sent from my Android using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo unataka kila akisema neno watu wakenue meno na kucheka
Tabia za unafiki zipo sana ila lazima tubadilike na mambo ya kuwazoa watu kwa malori na kuwajaza sehemu sio tija tena

Rais anaongea kuhusu barabara tu wala hawezi kumwita mtu kuongea halafu akimwambia wakae na mavi yao nyumbani mnachekelea

Kama unapenda kudhalilishwa ni wewe
Hapa tunasikiliza tukio muhimu la kufungua barabara tu na sio mengine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom