tatizo ni serikali imeshindwa kusimamia elimu yetu, mitahara inabadirishwa ovyo sababu imekua ni biashara watunzi wa vitabu vya mashuleni ni hawa wanasiasa,
miaka ya nyuma mpaka mwaka 2001 hivyi mtu alikuwa akifahuru shule za serikali anajivunia na mtahani anaonekana yuko vizuri kichwani na viongozi wakubwa walikua wanaonga watoto wao wasome shule za serikali.
Leo hii shule zote za serikali zimekufa ata mwanao akifahuru kwenye shule hizi unamtafutia shule ya binafsi.
Tatizo kubwa mimi nililiona sasa elimu tumeirahisisha sana tunatafuta njia ya mtoto kafuhur kwa kujua maswali na majibu kuliko kuelewa
kusoma sana summary za notes, kuliko kusoma notes zenyewe na vitabu,
tunatakiwa tuangalie wapi tumekosea na tunaelekea wapi
na usimamizi mkubwa unatakiwa kuwekwa kwa walimu