Wadau,
Kumekuwa na mlolongo mrefu wa walinzi binafsi wa Kagame kushtakiwa kwa kutuhumiwa kutaka kumuua.
Hivi huyu Kagame mwili wake umeundwa na dhahabu mbona marais wenzake wakina Museveni, Nkrunzinza, Kabila, Magufuli nk. hatujawahi kusikia wamemfunga mtu au kumpeleka mahakamani kwa tuhuma kama hizi za Kagame?
Kumekuwa na mlolongo mrefu wa walinzi binafsi wa Kagame kushtakiwa kwa kutuhumiwa kutaka kumuua.
Hivi huyu Kagame mwili wake umeundwa na dhahabu mbona marais wenzake wakina Museveni, Nkrunzinza, Kabila, Magufuli nk. hatujawahi kusikia wamemfunga mtu au kumpeleka mahakamani kwa tuhuma kama hizi za Kagame?