Kunani kwa tundu lissu

Kunani kwa tundu lissu

tangu alipomtukana nyerere ndo ilikuwa ishara yake ya mwisho wa siasa zake za miemuko,

Naomba nikukumbushe:
ktk uchaguzi wa s/mitaa uko wilaya ya ikungi(singida mashariki) 2014, ktk vijiji 50:
a)CHADEMA=tumezoa 47
b)MACCM=u figure it!
ahahaha
bado udiwani hapo
 
kikwete anaongoza matahira mengi sana mpaka namuonea huruma yaani mtu kashinda vijiji 41 kati ya 44 jimbo zima alafu akose ubunge???
 
Asingekuwa lissu Bungeni uzao wako wa panya usingekula wali na kuku.


swissme

kamanda ucjali,potezea hawa mafisiemu:
matokeo ya s/mitaa 14/12/2014 uko singida mashariki kwa lissu,ktk vijiji 50
chadema=47,maccm=?
udiwani je!?
 
Mleta Post Acha Kutufanya Watu Tuanze Kuwaza Vyenyewe Hatutaki Unaweza Ukalogwa Ukajikuta Asubuhi Uko Tanga Unauza Nazi.
 
Wakili Msomi Mhe. Tundu Manguai Lissu=Hii ngoma ni nzito. Wanasheria wote wa serikali wanahaha jamaa akisimama. Mkifanya mchezo singida yote itaingia chadema. The guy is no longer local but international figure. Masaju analia akimwona Lissu kasimama. Werema alitamani kumwandikia Rais barua aache kazi
 
Watu wengi ikiwamo na wanajimbo wa singida mashariki wametabiri kuwa tundu lissu hatarudi.hiyo issue nimeconfirm mwenyewe na nimeshuhudia watu wakiyasema.

Hili nalo ni bandiko kweli?vitu vingine vinakushushia heshima
 
Hivi humu vichaa wengi eeh, kweli unathubutu kusema lissu atetea Sacco's ya kaskazn! Huoni mchango wa huyu kiongoz ndani ya bunge la walafi?
 
Watu wengi ndio wangapi? Hao watu wengi walikutana wapi kuongea habari za Lissu na wewe ukawasikia? Hao watu wengi ndo wamekutuma? Angalia kesho usije ukatuambia umekutana na dhahama watu wengi!

Hao watu wengi ni yeye na mke wake.
 
Tukutane october

attachment.php
 
Back
Top Bottom