Kunani kazi za zoomtanzania?

Kunani kazi za zoomtanzania?

rkgx

Senior Member
Joined
Nov 30, 2013
Posts
100
Reaction score
81
Tangu nianze kutuma applications via Apply now button ya kwenye matangazo ya kazi za zoom sijawahi kuitwa kwenye interview hata moja, hivi zile applications kweli zinafika kwa walengwa au ndio magumashi?

Nime-attend interview nyingi kupitia emails address za makampuni na mara nyingi ni za kupitia kazibongo na tayoa.

Sasa hawa zoom inakuwaje?
 
Zoom ni wababaishaji sana,matapeli wengi wanakimbilia zoom kutapeli wahanga wa ajira.
 
we muongo. Mi nimeitwa interview kibao kupitia Zoom!.
 
Tanzania ni kubwa kaka na graduate ni wengi labda unakosea kuapply zoom au criteria unazikosa kaka z vacancy husika kazi yangu ya kwanza niliipata kupitia zoom bro labda bahati yako bado bro ukikosa ujue kuna wenzio wamepta ndo maisha
 
Man tindwa thanx nahitaji kupata experience kama hiyo, maana sijawahi itwa kwenye interview kwa kupitia hapo zoom.
 
Last edited by a moderator:
Zoom hawana shida even sie tunapata wafanyakazi kupitia matangazo zoom na tunapewa application na CV muda huo huo zikitumwa so nahisi mkuu jipange tuu ku update records zako! wish you all the best
 
Tangu nianze kutuma applications via Applynow button ya kwenye matangazo ya kazi za zoom sijawahi kuitwa kwenye interview hata moja...

Ushauri ni kwamba next time usitumie ile ''apply now'' button. Fuata maelekezo ya wale waliotoa ajira na fanya application. Wengine hutaka utume kwa posta, wengine hutaka utume kwa email etc.
 
luck always finds its way t o you but only if it was meant for you endeleaa tu kucheza bingo one day yes..........:cool2::cool2:
 
Mh! Mkuu me mwenywe nshaitwa mara kibao kwa interview thru zoom, embu jipange hiyo cv
 
Honestly nimependa sana ushauri wenu plus personal experiences you shared ngoja niendelee kukomaa. Nice to have you all on Jf.
 
Hivi nisaidieni wakuu,awa watu wenye mitandao ya kutangaza kazi wanapata faida gani? maana ata matangazo ya biashara siyaoni kwenye blogs zao.
 
Kuna mtu jinayemjua alipata kazi through zoom japo wana magumashi mengi.
 
Nimefanya online application nyingi sana kupitia ZOOM, hakuna hata moja niliowahi kuitwa hata kwenye Interview, je kuna aliewahi sembuse kuajiriwa kwa kuptia online application za ZOOM?
 
Nimefanya online application nyingi sana kupitia ZOOM, hakuna hata moja niliowahi kuitwa hata kwenye Interview, je kuna aliewahi sembuse kuajiriwa kwa kuptia online application za ZOOM?

Nimewahi kuitwa interview, na pia niliwahi kupigiwa na wahuni/matapeli wa kutaka mchango wa kunipitisha interview
 
Back
Top Bottom