Zoom.ni wapumbafu kupitita maelezo mbwa wale!!kwenye tovuti yao usiende pale walipokuambia ''appy now'' ww tuma maombi mojaa kwa moja kwenye shirika au kampuni iliotangaza nafasi unapotumia pale ku appy kupitia wao wanapata nafas ya kuona Cv yako ni majizi ya cv maashenzi yalee baada ya apo wanawapatia matapeli wanaokupigia simu wanakudanganya utume ela alfu wakupitishe kweny inter view ni washenzi hawafai kabisaaa!!!ukiona tangazo zoom tafuta mawasiliano ya kampuni au shirika lile waliotoa nafas ile ya ajira omba moja kwa moja USIOMBE KUTUMIA ZOOM utapoteza muda wako washenzi sana wale juzi nusu nitapeliwe aiseee ZOOM NI MTANDAO WA MATAPELI!!